mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Urudi na pweza alafu usiwape tifutifuu hata mchuzi wa pweza wakome.
Ushauri wako nitazingatia!! Shida tu ni kwamba nimezamishwa majini wakati kuna baridi sana!! Lakini yote maisha nitapambana tu!!Urudi na pweza alafu usiwape tifutifuu hata mchuzi wa pweza wakome.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni! Manara anachangamsha sana soka la bongo!! Kumkosa Manara kwenye soka la bongo tutakosa mashamsham fulani hivi!Kwa kulalamika sasa.
Unaweza ukasema wanamuonea.
Tatizo mdomo