Haji Manara yuko sahihi kwa hili

Haji Manara yuko sahihi kwa hili

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Kwenye press ya Mo nilipata mshtuko pale aliposema hapati faida yeyote kwenye timu na bahati mbaya waandishi wa habari hawakuuliza maswali ya msingi juu ya kile alichokitamka, sasa kumbe mshtuko wangu Haji Manara na yeye ameshtuka vile vile nilivyoshtuka na ile bilioni 21 aliyosema ametumia haieleweki aliwakopesha Simba au alijitolea Kama anavyojinasibu kuwa anaipenda simba? Ameweka bil.20 na wakati huo huo anawadai bil.21 hiyo tuiiteje wanajukwaa😄😄😄😄
 
Kuna mtu kasema Azam wakitoa Bilion 41 kama zile za Yanga Smba inachukua bilioni 21 yeye anachukua bilioni 20 zake...lakini bado anabaki kuonekana yeye ndio mfadhili mkuu mwenye hsa za bilion 20 pale simba.
 
Kuna mtu kasema Azam wakitoa Bilion 41 kama zile za Yanga Smba inachukua bilioni 21 yeye anachukua bilioni 20 zake...lakini bado anabaki kuonekana yeye ndio mfadhili mkuu mwenye hsa za bilion 20 pale simba.
.'*
 
Miaka minne Bila kombe watu wameamua kubutua mapema. Hawatafanikiwa. Ndoo ya Tano mwakani. Hela mwacheni Mo achukue tu sie tunataka ndoo.
Manara nae hajachukua kombe miaka mingapi?
 
Mo amepata faida kubwa kupitia Simba, kwanza ametumia Simba kutangaza bidhaa zake kwa bei rahisi. Ameuita uwanja wa Simba Mo arena wakati angetaka Simba ifanikiwe ule uwanja wangeuita jina la kampuni na Simba ikapata pesa za matangazo ila akae akijua hivi vilabu vimejaa watu vigeugeu siku Simba ikifanya vibaya ndipo atajua rangi halisi ya vilabu hivyo
 
Mo Dewji ni mwizi na tapeli.

Kwenye press ya mo nilipata mshtuko pale aliposema hapati faida yeyote kwenye timu, na bahati mbaya waandishi wa habari hawwakuuliza maswali ya msingi juu ya kile alichokitamka, sasa kumbe mshtuko wangu haji manara na yeye ameshtuka vile vile nilivyoshtuka, na ile bilioni 21 aliyosema ametumia haieleweki aliwakopesha simba au alijitolea Kama anavyojinasibu kuwa anaipenda simba? Ameweka bil.20 na wakati huo huo anawadai bil.21 iyo tuiiteje wanajukwaa😄😄😄😄
 
Kwenye press ya mo nilipata mshtuko pale aliposema hapati faida yeyote kwenye timu, na bahati mbaya waandishi wa habari hawwakuuliza maswali ya msingi juu ya kile alichokitamka, sasa kumbe mshtuko wangu haji manara na yeye ameshtuka vile vile nilivyoshtuka, na ile bilioni 21 aliyosema ametumia haieleweki aliwakopesha simba au alijitolea Kama anavyojinasibu kuwa anaipenda simba? Ameweka bil.20 na wakati huo huo anawadai bil.21 iyo tuiiteje wanajukwaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Kama Simba hapati faida mbona aondoki kama alivyoondoka Afraca Lyon?
 
Simba hawana Chakujibu Mambo aliyo ongea Manara ni ukweli mtupu, alicho kiacha Manara ni kusema Simba imeshaondoka mikononi mwa wanachama wake Kwasasa ni timu ya Familia ya MO.

Kaweka 20 b kakopesha timu 21 b. Maana yake Kwasasa timu ni ya familia nikama Man United wanavyo hangaishwa na familia ya Grazier kwa sasa. Kama Barbara akikuchukia pale Simba hukai, na Jamii kubwa ya kihindi apa Bongo akikuchukia mke wa Muhindi ujue kibarua huna.
 
Uwekezaji wa Mo Simba umekuwa mwiba mchungu sana kwa Utopolo. Naona leo Utopolo wote wako upande wa Haji. Na msimu ujao tunabeba makombe yote kama kawaida.
 
Simba hawana Chakujibu Mambo aliyo ongea Manara ni ukweli mtupu, alicho kiacha Manara ni kusema Simba imeshaondoka mikononi mwa wanachama wake Kwasasa ni timu ya Familia ya MO.

Kaweka 20 b kakopesha timu 21 b. Maana yake Kwasasa timu ni ya familia nikama Man United wanavyo hangaishwa na familia ya Grazier kwa sasa. Kama Barbara akikuchukia pale Simba hukai, na Jamii kubwa ya kihindi apa Bongo akikuchukia mke wa Muhindi ujue kibarua huna.
Nendeni mkashitaki CAS ili Mo anyang'anywe hizo hisa.
 
Back
Top Bottom