Jamaa yangu maisha yako ni kulalamika tu sio siasa, Michezo, Burudani yaani fungu ulilojichagulia ni manung'uniko[emoji28]
Mkuu Mambo Sasa yameiva, ni muda nzuri Mo atupe ukweli kuhusu hizi hoja zilizoibuliwa na Manara, na atwambie hiyo bil 21 aliipa Simba kma mkopo au alitoa msaada?Mo Dewji ni mwizi na tapeli.
Mkuu Mambo Sasa yameiva, ni muda nzuri Mo atupe ukweli kuhusu hizi hoja zilizoibuliwa na Manara, na atwambie hiyo bil 21 aliipa Simba kma mkopo au alitoa msaada?
Sent from my 5033X_EEA using JamiiForums mobile app
Huyo ndo mtanzania halisi kutwa lawama na kupingaJamaa yangu maisha yako ni kulalamika tu sio siasa, Michezo, Burudani yaani fungu ulilojichagulia ni manung'uniko[emoji28]
Kazi ipoMkuu Mambo Sasa yameiva, ni muda nzuri Mo atupe ukweli kuhusu hizi hoja zilizoibuliwa na Manara, na atwambie hiyo bil 21 aliipa Simba kma mkopo au alitoa msaada?
Sent from my 5033X_EEA using JamiiForums mobile app
Na hayo manembo ya matangazo kwenye nguo yeye aliingia mkataba na Nani?Huyo kuna vitu anaficha kuhusu hiyo bilioni 20 na pia mapato halisi ya Club huku akijifanya hakuna faida kwake. Huyo Barbra mshahara wake ni kiasi gani?
Na hayo manembo ya matangazo kwenye nguo yeye aliingia mkataba na Nani?
Sent from my 5033X_EEA using JamiiForums mobile app
Maswali ni mengi kwa kweli inabidi iundwe timu huru ili ifanye uchunguzi wa kina nini kinachoendelea pale Msimbazi. Kuna kila dalili kuna wizi na utapeli mkubwa sana.
Kwenye press ya mo nilipata mshtuko pale aliposema hapati faida yeyote kwenye timu, na bahati mbaya waandishi wa habari hawwakuuliza maswali ya msingi juu ya kile alichokitamka, sasa kumbe mshtuko wangu haji manara na yeye ameshtuka vile vile nilivyoshtuka, na ile bilioni 21 aliyosema ametumia haieleweki aliwakopesha simba au alijitolea Kama anavyojinasibu kuwa anaipenda simba? Ameweka bil.20 na wakati huo huo anawadai bil.21 iyo tuiiteje wanajukwaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mkuu Mambo Sasa yameiva, ni muda nzuri Mo atupe ukweli kuhusu hizi hoja zilizoibuliwa na Manara, na atwambie hiyo bil 21 aliipa Simba kma mkopo au alitoa msaada?
Sent from my 5033X_EEA using JamiiForums mobile app
Manara nae ngozi nyeusi?Mo ni tapeli. CAG akakague hesabu za simba. Yaliyomkuta Manara ni mambo ya wahindi. Wahindi wanapenda kudhurumu ngozi nyeusi.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Manara nae ngozi nyeusi?
[emoji23][emoji23][emoji23]Atakuwa mtoto wa kambo
Khaa yaani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuanzia kwenye siasa hadi huku michezoni yeye ni hivyo hivyo tu
Huyo jamaa yeye ameumbwa mtu wa kulalama tu, Hadi huku kwenye starehe pia yeye wakulaumu tu, itakuwa Ni kajitu fulani hata mwili hakanaJamaa yangu maisha yako ni kulalamika tu sio siasa, Michezo, Burudani yaani fungu ulilojichagulia ni manung'uniko[emoji28]
Mo ni tapeli pure! Aliwahi kujitunuku kiwanda flani hivi mkoa flani hivi kiujanja ujanja sana.
Yah kwa hulka hii ni ngumu kunawiri, Na walalamishi wana nafasi kubwa ya kuishia maisha magumu kwa sababu badala ya kupambana wanaamini hatima zao kuna watu wamezibeba kwa ajili yaoHuyo jamaa yeye ameumbwa mtu wa kulalama tu, Hadi huku kwenye starehe pia yeye wakulaumu tu, itakuwa Ni kajitu fulani hata mwili hakana