Haji sunday manara

Haji sunday manara

sheva77

Member
Joined
Oct 2, 2016
Posts
45
Reaction score
8
Azungumza kwa hisia sana akidai malinzi kaapa simba kutochukua ubingwa
 
Manara aliahidi kuoa endapo Simba itachukua ubingwa, sasa ubingwa unatafutiwa mezani.

Malinzi naye kwa upande wake, baada ya Mkoa wa Kagera kupokwa rambi rambi kasema sasa inatosha, points zitabaki Kagera
 
Azungumza kwa hisia sana akidai malinzi kaapa simba kutochukua ubingwa
Haji hana lolote zaidi ya kutaka kujipaka matope ili wanasimba wasimuone hafai baada ya simba kuukosa ubingwa walio apa kuuchukua mwaka huu
 
Manara aliahidi kuoa endapo Simba itachukua ubingwa, sasa ubingwa unatafutiwa mezani.

Malinzi naye kwa upande wake, baada ya Mkoa wa Kagera kupokwa rambi rambi kasema sasa inatosha, points zitabaki Kagera
Yeeeeeee bhagghooosha rambirambi zipi hizooooo?
 
Jamaa unaongea kanafiki bora nikae kimya tu nisije vuna dhambi bure ila jama ,.....
 
Me nimemsikia kwenye count down za milardy ayo
 
Watu wengi amabao hawajakamilika silaha yao huwa ni mdomo,na ukilipiza kisasi jamii lazma ikuone wewe ndo mkosefu.....

si unakumbuka ya Jerry Murro alimchana sana huyu bwana jamii ikamuona jerry mkosefu kumbe chokochoko zilianza kwa Manara.

[HASHTAG]#WachaNikaeKimya[/HASHTAG]

Hajakamilika kivipi? Yaani mwenyezi mungu hajammalizia kumuumba?. Wewe umekamilishwa eeh???...nini kina kupa confidence ya kuandika laani hizi wewe kiumbe??
 
He's got too much swagger to be an albino. Somebody ought to remind him he's still considered a freak.
 
Hajakamilika kivipi? Yaani mwenyezi mungu hajammalizia kumuumba?. Wewe umekamilishwa eeh???...nini kina kupa confidence ya kuandika laani hizi wewe kiumbe??
U pretend to be a fool,better rest ur fat as.s kid..
 
Huyu dogo anatawaliwa na jazba na sidhan kama anayoongea mara nyingi ni mawazo ya kamati ya utendaji;Yaani viongozi wa Simba yule ndio huwakilisha mawazo yao?
 
Kuanza kujadili upungufu wa maumbile yake ni upumbavu wa hali ya juu.

Kwani huwezi kujadili hoja zake bila kuhusisha na maumbile yake? Hoja ya mtu yeyote inajadilika bila kujali urefu au ufupi wake, weupe au weusi wake, n.k
 
Huyu dogo anatawaliwa na jazba na sidhan kama anayoongea mara nyingi ni mawazo ya kamati ya utendaji;Yaani viongozi wa Simba yule ndio huwakilisha mawazo yao?


Hili ndio tatizo lake kubwa Manara, na nimeshawahi kumwonya kupitia JF hii hii, anapaswa kudhibiti hisia zake hasa unapokuwa public figure
 
mwambie warudishe point za kagera aache kulia lia kama kaulizwa vyeti.
 
Back
Top Bottom