Hajj Manara akitetea wimbo usio na maadili

Hajj Manara akitetea wimbo usio na maadili

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Hivi huyu jamaa ana watoto kweli? atajisikiaje mtoto wake akikuta anaimba hayo matusi?ama kwa hakika haya maajabu naonaga kila ijumaa akipost mambo ya mtume mohamed nikawa namuonaga mtu wa maana kumbe popoma tu
mnashabikia nyimbo iliyojaa matusi tena basi bora ingekuwa hata matusi ya papuchi yeye ni makalio tu,vinyeesi vinyeesi hadi nyimbo lote linanuka choo
Halafu hii trend ya Diamond kuimba matusi ya kinyume na maumbile imeanza karibuni tu songs kama sita mbona zamani hakuwa hivi?/acheni kumuendekeza bana influence kwa watoto wanaomuona kama IDOL wao ni mbaya mno
anavaa hadi kikuku eti anasingizia wamarekani wanaotorokaga jela wanavaaga vikuku na nyie mnakaa mnashangilia kesho wewe Hajj manara yule Hassan mtoto wako akivaa kikuku usikasirike maana atakuwa atakuwa anamuiga huyo msafisha/msafishwa mtaro
Capture.PNG
 
Watu wanashinda kuelewa kua swala sio jina la wimbo "Nyegezi" swala ni mashairi yaliyokuwepo humo ndani ndo matusi ya wazi wazi.
 
Watu wanashinda kuelewa kua swala sio jina la wimbo "Nyegezi" swala ni mashairi yaliyokuwepo humo ndani ndo matusi ya wazi wazi.
hawajasikiliza wanapenda tu ushabiki kama wa simba na yanga,na wcb wajanja hii mara ya pili wakipata tatizo na serikali wanaisingiizia clouds wapate huruma,namshauri diamond aangalie nyimbo zake za nyuma,you can make good music bila ku corrupt minds za watoto
 
tuacheni masihara mjue Diamond ana impact kubwa sana kwa watoto?///anaimba mambo ya kutifua vinyesi watoto wake yeye wako south africa ,jana nimeona vitoto vya nursery vinaimba ule wimbo,nilichukia sana

Aisee nimesikiliza mashairi ya ule wimbo haufai hata kidogo.. Bahati mbaya sana wahanga wakubwa wa nyimbo za kizazi kipya ni vijana na watoto wadogo, ambao utakuwa wanacheza they way wanavyoona wanamuziki wanacheza katika video..
 
Hata kama!
Nyimbo nyingi za kibongo za sasa zinaimbwa matusi tupu na si Diamond tu,na zinaachwa tu.
Nahisi ni juhudi za wazee wa mawingu media kutaka kuwashusha WCB
 
Hata kama!
Nyimbo nyingi za kibongo za sasa zinaimbwa matusi tupu na si Diamond tu,na zinaachwa tu.
Nahisi ni juhudi za wazee wa mawingu media kutaka kuwashusha WCB
mimi sipo huko,zote zenye matusi zifungiwe kwanza ukikata kuua nyoka ponda kichwa,hii nyimbo ikifungiwa wengine watasttuka maana hawa ndo vinara wa game na vinara wa matusi
 
Halafu manara anatetea eti wametumia tafsida, tafsida gani hata mtoto wa la tatu anajua wanachoomanisha?unatoa mfano sijui wa makumbele,zama zimebadilika sana zamani nafikiri hizo tafsida watoto walikuwa hawajui maana yake sio miaka ya leo,kuna kipindi nikiwa mdogo gazeti la uhuru liandika APIGWA NA MUMEWE KWA KUTOSAFISHA MAZINGIRA kumbe hakusafisha sehemu nyeti hizo ndo tafsida sio unaimba upupu upo wazi unasema eti tafsida
 
Hivi huyu jamaa ana watoto kweli? atajisikiaje mtoto wake akikuta anaimba hayo matusi?ama kwa hakika haya maajabu naonaga kila ijumaa akipost mambo ya mtume mohamed nikawa namuonaga mtu wa maana kumbe popoma tu
mnashabikia nyimbo iliyojaa matusi tena basi bora ingekuwa hata matusi ya papuchi yeye ni makalio tu,vinyeesi vinyeesi hadi nyimbo lote linanuka choo
Halafu hii trend ya Diamond kuimba matusi ya kinyume na maumbile imeanza karibuni tu songs kama sita mbona zamani hakuwa hivi?/acheni kumuendekeza bana influence kwa watoto wanaomuona kama IDOL wao ni mbaya mno
anavaa hadi kikuku eti anasingizia wamarekani wanaotorokaga jela wanavaaga vikuku na nyie mnakaa mnashangilia kesho wewe Hajj manara yule Hassan mtoto wako akivaa kikuku usikasirike maana atakuwa atakuwa anamuiga huyo msafisha/msafishwa mtaro
View attachment 932112
Nyimbo gani mkuu [emoji15][emoji15]
 
Vitu vya kibwege vinapata Kick Sana kwenye Jamhuri yetu Halafu mambo serious Hakuna anefuatilia
 
mimi sipo huko,zote zenye matusi zifungiwe kwanza ukikata kuua nyoka ponda kichwa,hii nyimbo ikifungiwa wengine watasttuka maana hawa ndo vinara wa game na vinara wa matusi
Ww ni mtu mzima unajua Jema na baya kazi kwako kuchanganua ile ni fasihi ina manana pana.
 
Huyo jamaa ndo akili zake zilivyo sishangai.
 
Halafu manara anatetea eti wametumia tafsida, tafsida gani hata mtoto wa la tatu anajua wanachoomanisha?unatoa mfano sijui wa makumbele,zama zimebadilika sana zamani nafikiri hizo tafsida watoto walikuwa hawajui maana yake sio miaka ya leo,kuna kipindi nikiwa mdogo gazeti la uhuru liandika APIGWA NA MUMEWE KWA KUTOSAFISHA MAZINGIRA kumbe hakusafisha sehemu nyeti hizo ndo tafsida sio unaimba upupu upo wazi unasema eti tafsida
[emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji15]umesha sema tafsida. mi nikajua ametamka wazi wazi[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
hawajasikiliza wanapenda tu ushabiki kama wa simba na yanga,na wcb wajanja hii mara ya pili wakipata tatizo na serikali wanaisingiizia clouds wapate huruma,namshauri diamond aangalie nyimbo zake za nyuma,you can make good music bila ku corrupt minds za watoto
Mbona Iokote haijafungiwa? au hayo humo ndani sio matusi?
 
Hili jambo litakua ni habari ya TAIFA.
Ahahaaah, BONGO noma sana.
 
#Wanaumewadar ili nalo liwashinde nendeni mikocheni ITV,waulize ile tamthilia ya Isidingo itaisha lini.
 
Back
Top Bottom