Hajui private love Sasa ni msala.

Hajui private love Sasa ni msala.

Nyie wote watoto. Kama mpaka mama zenu wanakagua simu zenu, basi bado mpo kwenye strict guidance.

Nimemshangaa huyo mama. Eti unafanyaje mapenzi na kaka yako? Ina maana ni ruksa akatombwe na watu baki siyo?
Mkuu ni hatari
 
Khaaa mapenzi mazito ....huwa masikiniyanaziba hutasikia lolote kwa sasa
 
Habari wakuu, ndugu zangu naombeni ushauri, mm Kuna familia tunaishinao kama ndugu ila kimsingi siyo ndugu zangu just kukutana katika jumuiya za kanisani kusali, na nimekuwa ni kiwatembelea kwao.

Katika familia hiyo kuna Binti wawili, tumekaa na hii familia kama miaka minne na nikiwa naogopa sana kuwaambia lolote hawa Binti, ila mm sikujua kama mmoja wao ananipenda, akawa ananiigizia vituko mbali mbali ila mm sijali kutokana na heshima nayo mpa kama dada ni Kawa naogopa.

Siku mmoja akaja kunitembelea niliko panga, mvua ikanyesha tukajikuta tunalala wote pamoja Huku mimi ni kiwa Sina wazo lolote, ila kumbe yeye anahisia, akawa ananisukuma Eti Niko na lala vibaya Huku mahasira kibao, mwishowe akaniambia baridi ni Kali ni mkumbatie kweli ikawa hivo, na Mimi binadamu ndugu zangu hisia zikanijia tukafanyana, duh apa Ndio tatizo lilianzia kuheshimiana kukaisha akawa anakuja tunafanya.

Tatizo Liko hapa, mama yake ameona sms zangu ktk simu ya mwanae akiniambia anahamu na mimi na mimi ni Kawa na mjibu njoo mke wangu na kusubili tufanye n.k.

Yule mama akaanza kumuwakia Binti kuwa anafanyaje mapenzi na kakaake, baadae yule Binti akaniambia duh, ukweli Sina amani naombeni ushauri ni fanyeje, ni Muache huyu mdada Ili ni kamuombe msamaha mama yake au ni tulie TU.

Nawasilisha

Hivi hii kuomba ushauri wa watu waliozagamuana ndo imekuwa style now days? Yani nyie mtiane uko uje kuomba ushauri hapa kweli??? Mnazingua sana wakuu sasa ushauri wa nini tena?

Mbadilike sasa ushauri wa nini mkuu? Hivi kama unataka kumuacha mwanamke hujui nini chakufanya? Na kama unampenda pia hujui nini chakufanya? Mnazingua watoto wakiume na mambo ushauri wa mapenzi yanatoka wapi? Mambo hayo waachieni dada zenu
 
Mkuu kwa mkongo ulio bora nifate dm uniungishe mana hapo unatakiwa upige game la mwisho na hofu uliyo nayo utapoteza point nyingi sana siku hiyo, mkongo utakusaidia sana kukupa heshima ili muachane vizuri.

gram ni nyingi kwa bei rafiki karibu mteja😊
 
Najua Kuna uoga au sijui niite domo zege ila hii Yako imepitiliza anyway kusaidia kwa udogo TU huwa hakuna kuomba samahani unapofanya mapenzi ni unapiga kimya na kuendelea na maisha yako kama umempenda huyo msichana endelea nae hakuna shida ila punguza huo utoto aisee
 
Kama una nia nae nzuri ndio wasaa wa kufanya muwe ndugu kabisa kabisa….zamani watu huoa kweny koo zenye urafiki ndugu
 
Huyo mama huyo kua nae makini sana.
Habari wakuu, ndugu zangu naombeni ushauri, mm Kuna familia tunaishinao kama ndugu ila kimsingi siyo ndugu zangu just kukutana katika jumuiya za kanisani kusali, na nimekuwa ni kiwatembelea kwao.

Katika familia hiyo kuna Binti wawili, tumekaa na hii familia kama miaka minne na nikiwa naogopa sana kuwaambia lolote hawa Binti, ila mm sikujua kama mmoja wao ananipenda, akawa ananiigizia vituko mbali mbali ila mm sijali kutokana na heshima nayo mpa kama dada ni Kawa naogopa.

Siku mmoja akaja kunitembelea niliko panga, mvua ikanyesha tukajikuta tunalala wote pamoja Huku mimi ni kiwa Sina wazo lolote, ila kumbe yeye anahisia, akawa ananisukuma Eti Niko na lala vibaya Huku mahasira kibao, mwishowe akaniambia baridi ni Kali ni mkumbatie kweli ikawa hivo, na Mimi binadamu ndugu zangu hisia zikanijia tukafanyana, duh apa Ndio tatizo lilianzia kuheshimiana kukaisha akawa anakuja tunafanya.

Tatizo Liko hapa, mama yake ameona sms zangu ktk simu ya mwanae akiniambia anahamu na mimi na mimi ni Kawa na mjibu njoo mke wangu na kusubili tufanye n.k.

Yule mama akaanza kumuwakia Binti kuwa anafanyaje mapenzi na kakaake, baadae yule Binti akaniambia duh, ukweli Sina amani naombeni ushauri ni fanyeje, ni Muache huyu mdada Ili ni kamuombe msamaha mama yake au ni tulie TU.

Nawasilisha
 
Mkafanyana ndio lugha gani??? Private love ni nini?? Wewe ni msukuma?
 
Back
Top Bottom