Hajui private love Sasa ni msala.

Mi sijaona tatizo hapo...mama mkwe wako ndo kaexergereti
Huoni Mkuu, mpaka Sasa sm kanyangwanywa na ma sms kibao yaajabu ajabu tuliyokuwa tukiongea yule mama ndio anayo duh wejamaa bwana🤔
 
Nyie wote watoto. Kama mpaka mama zenu wanakagua simu zenu, basi bado mpo kwenye strict guidance.

Nimemshangaa huyo mama. Eti unafanyaje mapenzi na kaka yako? Ina maana ni ruksa akatombwe na watu baki siyo?
Mkuu ni hatari
 
Khaaa mapenzi mazito ....huwa masikiniyanaziba hutasikia lolote kwa sasa
 

Hivi hii kuomba ushauri wa watu waliozagamuana ndo imekuwa style now days? Yani nyie mtiane uko uje kuomba ushauri hapa kweli??? Mnazingua sana wakuu sasa ushauri wa nini tena?

Mbadilike sasa ushauri wa nini mkuu? Hivi kama unataka kumuacha mwanamke hujui nini chakufanya? Na kama unampenda pia hujui nini chakufanya? Mnazingua watoto wakiume na mambo ushauri wa mapenzi yanatoka wapi? Mambo hayo waachieni dada zenu
 
Mkuu kwa mkongo ulio bora nifate dm uniungishe mana hapo unatakiwa upige game la mwisho na hofu uliyo nayo utapoteza point nyingi sana siku hiyo, mkongo utakusaidia sana kukupa heshima ili muachane vizuri.

gram ni nyingi kwa bei rafiki karibu mteja😊
 
Najua Kuna uoga au sijui niite domo zege ila hii Yako imepitiliza anyway kusaidia kwa udogo TU huwa hakuna kuomba samahani unapofanya mapenzi ni unapiga kimya na kuendelea na maisha yako kama umempenda huyo msichana endelea nae hakuna shida ila punguza huo utoto aisee
 
Kama una nia nae nzuri ndio wasaa wa kufanya muwe ndugu kabisa kabisa….zamani watu huoa kweny koo zenye urafiki ndugu
 
Huyo mama huyo kua nae makini sana.
 
Mkafanyana ndio lugha gani??? Private love ni nini?? Wewe ni msukuma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…