Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Ona sasaMkuu kwa mkongo ulio bora nifate dm uniungishe mana hapo unatakiwa upige game la mwisho na hofu uliyo nayo utapoteza point nyingi sana siku hiyo, mkongo utakusaidia sana kukupa heshima ili muachane vizuri.
gram ni nyingi kwa bei rafiki karibu mteja😊
Jinsi tulivyokuwa tunaheshimiana tuInamanaa mkuu, huwajui Dada zako hadi uwe na hofu Namna hiyo?
Kwa nn ndugu Y'anguHuyo mama huyo kua nae makini sana.
Aise SAWA mkuuNajua Kuna uoga au sijui niite domo zege ila hii Yako imepitiliza anyway kusaidia kwa udogo TU huwa hakuna kuomba samahani unapofanya mapenzi ni unapiga kimya na kuendelea na maisha yako kama umempenda huyo msichana endelea nae hakuna shida ila punguza huo utoto aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kituo cha kwanza Yesu anahukumiwa afe....
😄Kabla ujamla ungekuja kwa wanajamvi......saiz umesha mmiminia rojo huoni kama umechelewa
Hiyo private love sijaiona kwenye content
Aiseelabda alimaanisha binti kutokuwa makini na simu yake kupelekea msg kusomwa