Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaa preta umenivunja mbavu zangu!kaahirisha ulivyomtishia kuwa aaege kabisa kuwa anaweza arudi au asirudi ndo maana kahamishia majeshi kwa cheusi!halafu kaizer ndo kaharibu mambo kutaja kuwa niko AR.nitamuadhibu lol!aah mgeni karibu bwana sie tunakusubiria...sasa umeahirisha unakwenda wapi?.....hiyo picha ni ya cheusi kabisa namjua
hahaha Nyivonduma kumbe weye hiyo hapo ni ya kwako ???🙂
mkuu ushaishughulikia mara ngapi kiunyumba hiyo avatar😀
cheusi hata kama hamuweki picha zenu za ukweli lkn si mnachagua zinazofanana na nyie bwana...lol.....hahaa hizi avatar zina mambo shosti!niliiona picha ya hiyo avatar yako mtandaoni nikawakumbuka wanajf wanavyopagawa wkt hatuwezi kuweka picha zetu za ukweli!ngoja siku watuone tulivyo kama hawatakimbia!lol
![]()
![]()
ngoja tumwekeee hizi labda atabadili uncle ndivouma atabadili mawazo yake!
hahaa preta umenivunja mbavu zangu!kaahirisha ulivyomtishia kuwa aaege kabisa kuwa anaweza arudi au asirudi ndo maana kahamishia majeshi kwa cheusi!halafu kaizer ndo kaharibu mambo kutaja kuwa niko AR.nitamuadhibu lol!
jf inanifurahisha sana!
daaah.....!mi siku zote nilikuwa najua hii ni picha ya kweli ya firstlady bwana....hayo macho!
hahaa!labda yuko siriaz na watoto wa AR maana ulivyotaja tu AR mzee mzima akahamishia majeshi huku!nawe uache kutoa siri nitakuchapa viboko!Huyo anaweweseka ndo maana......ni kumpotezea tu
jamani kumbe we ulidhani ya nani -ni yangu Faza -Xmas siyo ya Pearl
Cheusi kazi unayo!
ni kweli nafikiria kuibadili,sikujua kama watu wataichukulia siriaz kama hivi!
imebidi nitembelee hiyo website mama wa kwanza....daaaa!picha nilizokuta huko hazifaiii....zinapofoa macho halafu haziendani kabisa na jina lako la kiheshima....
mi mzima kabisa 1lady wangu!]Ka[/B] Quine mzima ? ni PM basi kuhusu ile habari uliyoniambia