Haka ka quine ka celebrity ka moyo wangu hapa JF kananiua kwa mawazo wakuu

Haka ka quine ka celebrity ka moyo wangu hapa JF kananiua kwa mawazo wakuu

ha ha ha huyu jamaa ananichekesha sana. Unajua watu wanazani mtu anaendana na avatar yake.
icon10.gif
icon2.gif
icon10.gif
 
aah mgeni karibu bwana sie tunakusubiria...sasa umeahirisha unakwenda wapi?.....hiyo picha ni ya cheusi kabisa namjua
hahaa preta umenivunja mbavu zangu!kaahirisha ulivyomtishia kuwa aaege kabisa kuwa anaweza arudi au asirudi ndo maana kahamishia majeshi kwa cheusi!halafu kaizer ndo kaharibu mambo kutaja kuwa niko AR.nitamuadhibu lol!
jf inanifurahisha sana!
 
hahaa hizi avatar zina mambo shosti!niliiona picha ya hiyo avatar yako mtandaoni nikawakumbuka wanajf wanavyopagawa wkt hatuwezi kuweka picha zetu za ukweli!ngoja siku watuone tulivyo kama hawatakimbia!lol
cheusi hata kama hamuweki picha zenu za ukweli lkn si mnachagua zinazofanana na nyie bwana...lol.....
 
utapenda wanaume wenzako best JF jipende mwenyewe
ukifanya mchezo tutarudia mambo ya malawi
oohh!!!!
 
hahaa preta umenivunja mbavu zangu!kaahirisha ulivyomtishia kuwa aaege kabisa kuwa anaweza arudi au asirudi ndo maana kahamishia majeshi kwa cheusi!halafu kaizer ndo kaharibu mambo kutaja kuwa niko AR.nitamuadhibu lol!
jf inanifurahisha sana!

Huyo anaweweseka ndo maana......ni kumpotezea tu
 
Huyo anaweweseka ndo maana......ni kumpotezea tu
hahaa!labda yuko siriaz na watoto wa AR maana ulivyotaja tu AR mzee mzima akahamishia majeshi huku!nawe uache kutoa siri nitakuchapa viboko!
 
haya mambo ya avatar haya, mwenzenu sina hamu.
 
hahaha jamani inanikumbusha mbaali, tulipokuwa shuleni kuna wasichana walikuwa wakiwapenda watangaza redioni labda chombeza time ile, kisa sauti tu 😀
 
jamani kumbe we ulidhani ya nani -ni yangu Faza -Xmas siyo ya Pearl

imebidi nitembelee hiyo website mama wa kwanza....daaaa!picha nilizokuta huko hazifaiii....zinapofoa macho halafu haziendani kabisa na jina lako la kiheshima....
 
Ka Quine mzima ? ni PM basi kuhusu ile habari uliyoniambia
 
imebidi nitembelee hiyo website mama wa kwanza....daaaa!picha nilizokuta huko hazifaiii....zinapofoa macho halafu haziendani kabisa na jina lako la kiheshima....

pole sana ndio maana bony mwaitege aliimba utamtambuaje kama ameokoka
ni dhahiri matendo na si vingine
amen
 
]Ka[/B] Quine mzima ? ni PM basi kuhusu ile habari uliyoniambia
mi mzima kabisa 1lady wangu!
hivi hiyo kwenye red uncle Nyivonduma alikua anamaanisha nini?
anyway!nakuandalia ile kitu na wengine wote mlioniomba nitawatumia jion muda huu niko bize kidogo.
stay blessed sissy!
 
Back
Top Bottom