cheusimangala JF-Expert Member Joined Feb 27, 2010 Posts 2,585 Reaction score 498 Mar 26, 2010 #41 Kaizer said: tatizo hawajui kama umeshachukuliwa, hadi watolewa ngeu ndo watajifunza....😕 Click to expand... baelezee,kuwa kiwanja kishauzwa na wenyewe wana hati miliki.
Kaizer said: tatizo hawajui kama umeshachukuliwa, hadi watolewa ngeu ndo watajifunza....😕 Click to expand... baelezee,kuwa kiwanja kishauzwa na wenyewe wana hati miliki.
Kaizer Platinum Member Joined Sep 16, 2008 Posts 25,324 Reaction score 17,846 Mar 26, 2010 #42 cheusimangala said: baelezee,kuwa kiwanja kishauzwa na wenyewe wana hati miliki. Click to expand... LOL....mwache tu si unaona keshapotea apa..keshaisoma ivo
cheusimangala said: baelezee,kuwa kiwanja kishauzwa na wenyewe wana hati miliki. Click to expand... LOL....mwache tu si unaona keshapotea apa..keshaisoma ivo
Regia Mtema R I P Joined Nov 21, 2009 Posts 2,970 Reaction score 866 Mar 26, 2010 #43 Mmh,bora umekuwa muwazi na umetangaza yaliyo moyoni mwako in public.Nadhani amekusikia na kukuelewa.