Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,666
- 12,178
Sijasahau ila unajua kila mtu na uwezo wake, wengine wa nanunua vitasa vya elfu sita wengine vya laki na nusu, kwahyo apige hesabu kwa level yakeUmesahau lkumtajia bei ya kila kitu... nadhani umehofia kumkatisha tamaa... maana unaweza kuta labda alikuwa ma 1M akadhani itamtoa