Poa njoo pm nikwambie kitu halaf ubadilishe jina uache kujiita majina ya kike! Sio issue wala nn..kama ni likes au umaarufu hazitokupa hela kaka. Tumeelewana bro?okay nipe means wewe itakayokuridhisha, am waiting
Si ndio maana mnajiita majina ya kike na kujifanya wanawake ili mpate attention zetu,acha hizo bro!! Halafu hebu Fanya kaz..Ah kumbe wivu wako ni kwakua umeona napata likes😂😂😂😂😂😂
Sawa kkukiprove uje useme huku na uombe radhi kwa kukisia ovyo watu usiowajua sawa ndugu?
Utoto bado unakusumbua we kijana! Halafu hebu kwaheri kwanzausipanick nenda taratibu ndugu yangu. Mi sikujua kinachikusumbua ni wivu. So unawish ungezaliwa wa kike kama sie ili upate likes 😂 😂 😂 😂
hatokuamini nakwambiamkuu uyu ni mdada, nilikuwa na wasiwasi ata mimi ila nimekuja kuonana nae live, anakaa kibaha kwa matiasi
Huyu mpaka tumweke mezani. hapa hawezi kuelewasio kweli, new gal ni mwanamke tena madam hero, super woman kabisaaa
Mhhh ndo alivowaingiza chaka na comments zake kule kwamba alivoliwa kimasihara na nyie mkaamin wakat uandish wa dume kabisa!sio kweli, new gal ni mwanamke tena madam hero, super woman kabisaaa
Huo wa kwako! Hausound kabisa kama ni mwanamke..yaana kuna hints kabisa naona kabisa hapa ni lijamaa fulan ndo linaandikaUandishi wa kiume ndo ukoje?
Mazee msidanganyike na comments zake za kuliwa tunda kimasihara..huyu ni dume mkuu,trust me!! Msije Tuma nauli zenu tu mtakuja kulia hapamkuu fikra zako sio sahihi..niamini mm, new gal ni malkia wa nguvu...
Mbona me kaniambia anakaa mbez beach? Nge nge nge!!!(bell ring) kengele ya hatar ishalia hapa atakuja kulizwa mtu nauli humu hayen jamanUkiwa na safari za kibaha kwa matiasi naimbie nikupe namba zake utampata, maana ndio amejiajili uko na anakaa uko, ni mdada kigori kabisa
Thank youkwani kila mtu lazima aambiwe ukweli, inawezekana alikuambia ivyo ili umpotezee kwa kuwa hauna imani nae, si unajua style za wanawake uwa hawapendi bugudha kama hajamuelewa mtu
muongo huyo sijawah ongea nae nnapoishikwani kila mtu lazima aambiwe ukweli, inawezekana alikuambia ivyo ili umpotezee kwa kuwa hauna imani nae, si unajua style za wanawake uwa hawapendi bugudha kama hajamuelewa mtu
achana nae, si unajua watu wa mitandaoni asije akakutaperi dada angu.muongo huyo sijawah ongea nae nnapoishi
Thanks
Naupendaga huu sikujua walioimba. Thanks