Haki ni lazima mtu apewe wala siyo ombi.
Wanachuo UDSM,TEKU,UDOM tupo field mwezi umekwisha bila hata malipo.
Serikali kuweni na huruma acheni roho za mabavu,shida ni nn?
Tanzania kila jambo siasa tu,ni kweli mnamamlaka lakini tendeni haki, ni mazingira kama haya tungekua chuo kungekua na maandamano ya kihistoria.
TENDENI HAKI HAMTA DUMU MILELE HAYA MAISHA TU.
SIPATI PICHA KIPINDI HIKI KAMA KUNGEKUA UCHAGUZI MKUU!
Kampeini zingejipiga zenyewe.
Wanachuo UDSM,TEKU,UDOM tupo field mwezi umekwisha bila hata malipo.
Serikali kuweni na huruma acheni roho za mabavu,shida ni nn?
Tanzania kila jambo siasa tu,ni kweli mnamamlaka lakini tendeni haki, ni mazingira kama haya tungekua chuo kungekua na maandamano ya kihistoria.
TENDENI HAKI HAMTA DUMU MILELE HAYA MAISHA TU.
SIPATI PICHA KIPINDI HIKI KAMA KUNGEKUA UCHAGUZI MKUU!
Kampeini zingejipiga zenyewe.