Haki ipoje hapa

Haki ipoje hapa

Joined
May 15, 2016
Posts
47
Reaction score
14
naomba kuuliza!hivi sheria ipoje kwa mtu kuchukuliwa kwa kuhisiwa kuwa ni mwizi na kufungiwa ndani na mtu mmoja anayemhisi kamuibia na kumpiga na vitu vyenye icha kali ikiwa ni pamoja na visu, koreo, nk!

Hadi kumnyofoa kucha zote na kumchanachana mwili mzima na kumnyofoa nyofoa nyama mwilin na kumkata kata sehem zake za siri kisha kumpeleka polis baada ya kumfanyia ukatili huo!!

Na alipofika polisi kamkabidhi muathirika na hilo tukio na yeye kurudi uraian akiwa na furaha na polis wasichukue hatua yeyote kwa mtendaji wa ukatil huo!!

Naomba kujifunza hapo sheria zipoje.

Nawasilisha
 
PGO, huyo ni criminal kama huyo aliyemuumiza. Ndugu zake walalamike kwa IGP! au RPC or RC, DC and the like
 
Kama ni mwizi hamna namna Polisi wana mambo mengi ya kufanya
 
Pamoja na hayo, ni mwizi yes, lakini criminal justice system/sheria zetu hazipo hivyo! haziruhusu hilo
asnt kwa ushauri kiukwelii kuna muda sitaman kabs kumwona huyu dogo kwa jinsi alivyoumizwaa
 
Back
Top Bottom