Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Haki imeshavunjwa, haitendeki na sitegemei kutendeka CHADEMAKuna neno gumu sana kutamkwa na wagombea wa vyama wakiwa wanafanya kampeni, Kama ww unaamini neno hili ni rahisi kutamkwa comment hapo chini kwa kuandika HAKI ITATENDEKA, KILA MGOMBEA ATAPEWA HAKI YAKE UCHAGUZI MKUU ukimalizia na jina la chama chako mfano " HAKI ITATENDEKA, KILA MGOMBEA ATAPEWA HAKI YAKE UCHAGUZI MKUU- Nccr Mageuzi.
Tuone wenye mapenzi mema na nchi yao na watakuwa mabalozi wa Amani hapa nchini
Twende kazi.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app