Haki imeshavunjwa, haitendeki na sitegemei kutendeka CHADEMAKuna neno gumu sana kutamkwa na wagombea wa vyama wakiwa wanafanya kampeni, Kama ww unaamini neno hili ni rahisi kutamkwa comment hapo chini kwa kuandika HAKI ITATENDEKA, KILA MGOMBEA ATAPEWA HAKI YAKE UCHAGUZI MKUU ukimalizia na jina la chama chako mfano " HAKI ITATENDEKA, KILA MGOMBEA ATAPEWA HAKI YAKE UCHAGUZI MKUU- Nccr Mageuzi.
Tuone wenye mapenzi mema na nchi yao na watakuwa mabalozi wa Amani hapa nchini
Twende kazi.
Mwambie huyooo 😂😂😂Mtaarishie yule msifungono ndege ya kwenda kwao chato
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Hii Lissu ameshalisema mara nyingi sana kwenye kampeni zakeNeno gumu zaidi kutamkwa kwenye kampeni na wagombea hasa wa nafasi ya Urais ni "Nikishindwa kwenye uchaguzi ulio huru na wa haki nitakubali matokeo na kumpongeza mshindi"
Una vyama viwili sio?.HAKI ITATENDEKA, KILA MGOMBEA ATAPEWA HAKI YAKE UCHAGUZI MKUU- UDP
Kama ni usaliti jpm anaongoza, kawasaliti watanzania, kwa kuwabaguaHatuna haja ya kumpunguzia msaliti wa Nchi
Usaliti ni laana, mgombea wenu anaandamwa na hilo
Tuwasikie na wagombea wengine piaHii Lissu ameshalisema mara nyingi sana kwenye kampeni zake
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
KIMOJA TU UDPUna vyama viwili sio?.
Usaliti upi? Usaliti wa kumbambikia tokea lini ukakubalika kwa watu wenye Akili timamu?Piga spana Wasaliti wa Nchi [emoji28][emoji28] lissu atapewa kura na robert tu
Lisu ndiyo aliwaleta wazungu kuja kuiba madini mwaka 1998? Lisu ndiyo alipitisha mikataba mibovu ya madini Bungeni? huko Belgium lisu alikwenda mwenyewe? Kama siyo wewe kwenda Dodoma na Bashite kumpiga risasi angefikaje Belgium?Lissu alikuwa analipwa mabilion na Mabeberu ili awatetee bungeni kutuibia rasmali zetu
Hii laana haitamuacha salama
Acha uongo wako mwaka 1998 Lisu ndiye mtu wa kwanza kupiga kelele juu ya mikataba mibovu ya madini na mtukufu magufuli alikuwa Bungeni kupitisha mikataba hiyo pasipo kupinga chochoteLissu alikuwa analipwa mabilion na Mabeberu ili awatetee bungeni kutuibia rasmali zetu
Usaliti ni laana
Wewe Kama Nani unaongea kirahis hivyoHAKI ITATENDEKA, KILA MGOMBEA ATAPEWA HAKI YAKE UCHAGUZI MKUU -CHADEMA.
Mbingu na Anga zimemkataa Magufuli.
HATA APIGE MAGOTI MBINGU ZIMEMKATAA