kibananhukhu
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 366
- 163
Akiongea kwa hisia, akionesha kuwa kama siyo "Gender" wanawake ndo basi, kanikatisha tamaa. Nilikuwa ninamfikiria ni shupavu, mwenye uwezo wa kushika wadhifa wowote nchini kwa uwezo wake, Mhe. Asha Rose Migiro amenikatisha sana tamaa jinsi alivyokomalia wanaweke wabebwe.
Kuna wanaweke wenye uwezo hata wa kuwa maraisi bila kubebwa, kwa nini Asha haoneshi kujiamini kwa hilo? Ni kweli wanawake watanzania hawana uwezo wa hata kugombea naafasi tu za uongozi wa Bunge. Hali hii haitatufikisha mahali pa kusema kuwa kama kipindi hiki Rais ni Mwanaume kipindi kijacho raisi awe Mwanamke?
Asha rose aliongoza kampeni za kutaka kama Mwenyeki wa Bunge akitoka bara, makamu awe mwanamke na kama mwenyekiti akitoka Visiwani Makamu awe mwanamke.
Nadhani hii haina tofauti na viti maalum ambavyo katika katiba mpya havipo au vimeboreshwa kwa kuwafanya akina mama wagombee. Hoja hii haikuwa ya kutetewa na Migiro.
Kuna wanaweke wenye uwezo hata wa kuwa maraisi bila kubebwa, kwa nini Asha haoneshi kujiamini kwa hilo? Ni kweli wanawake watanzania hawana uwezo wa hata kugombea naafasi tu za uongozi wa Bunge. Hali hii haitatufikisha mahali pa kusema kuwa kama kipindi hiki Rais ni Mwanaume kipindi kijacho raisi awe Mwanamke?
Asha rose aliongoza kampeni za kutaka kama Mwenyeki wa Bunge akitoka bara, makamu awe mwanamke na kama mwenyekiti akitoka Visiwani Makamu awe mwanamke.
Nadhani hii haina tofauti na viti maalum ambavyo katika katiba mpya havipo au vimeboreshwa kwa kuwafanya akina mama wagombee. Hoja hii haikuwa ya kutetewa na Migiro.