Haki mwa Milengo ya Jinsia - Asha Rose Migiro sijamuelewa

Haki mwa Milengo ya Jinsia - Asha Rose Migiro sijamuelewa

Mama anatafuta umaarufu tu hakuna lolote! Yani anasimama anaongea mpaka mishipa ya shingo inasimama kujifanya anatetea wanawake wakati ni mbinu tu ya kujitafitia kuungwa mkono na akina mama! Wajinga ndio waliwao
 
50 50 iwepo na kwenye kulipa bili na kutoa posa sio kwenye madaraka tu.
 
Uko njia potofu saaana ila pia inaonesha jinsi gani unaichukulia dunia na maisha kwa ujumla!!!!!!

Jua wapo wanawake katika nafasi za utendaji wana akili kuliko wanaume wengi sana, wana busara na wanaweza kufanya mambo yakaonekana na kukubalika ila tu hawaingii huko sababu ya mfumo unaotaka akili yako kuongozwa kwa matakwa ya chama au kundi fulani, hawa huwezi wakuta karibu na siasa!!!!!

Kwenye hili tukubali kutofautiana mapema kabisa; wapo wanawake vichwa sana tuuu!!!!!!!!!

Ngoja nikuitie wachache hapa gfsonwin, AshaDii, Kaunga, Ennie, Heaven on Earth, Karucee, Kongosho, Preta, King'asti, Evelyn Salt majina yanagoma hebu anza na hawa kuwaeleimisha kuwa wao wanategemea mashimo wao ni bure na hawawezi ushindani!!!!!

Mkuu mbona tena Unanichonganisha na best wangu Evelyn Salt? Naona karibia utaniitia na Madame B?!!

Mkuu nafikri kuna mahali tunaposhindwa kuelewana tu! Hakuna anayesema kwamba hatuna wanawake vichwa, wapo! Tena wengi tuuuuuuu!! Mojawapo ninaowafahamu kwa ukaribu ni kama Dr. Njelekera, Dr. Hellen-Kijo Bisimba, Joyce Mhaville, Professor-Dr. Apollinaria Pereka, Dr. Agnes Kijazi, na mama mwingine engineer alikuwa mamlaka ya viwanja vya ndege n.k, n.k

Ninachokisemea mimi ni woga wao katika kuingia kwenye ushindani mpaka inafikia hatua ya kung'ang'ania viti vya upendeleo. Nafikri jana ulisikia mpaka wanaimba "tu-na-taka haki yetuuuu", kwa hiyo haki yao ni kupewa viti vya upendeleo, wala si ushindani wa uwezo wa mtu katika kujieleza!!!

Kwa hiyo mkuu wala hakuna haja ya kuniitishia maandamano ya akina mama hapa jamvini kama ulivyofanya hapo juu!! Isipokuwa labda kama na wewe ni m-mama pengine labda nilikukwaza!! AKINA MAMA BADO SANAAAAAAAAAA!!
 
Mkuu mbona tena Unanichonganisha na best wangu Evelyn Salt? Naona karibia utaniitia na Madame B?!!

Mkuu nafikri kuna mahali tunaposhindwa kuelewana tu! Hakuna anayesema kwamba hatuna wanawake vichwa, wapo! Tena wengi tuuuuuuu!! Mojawapo ninaowafahamu kwa ukaribu ni kama Dr. Njelekera, Dr. Hellen-Kijo Bisimba, Joyce Mhaville, Professor-Dr. Apollinaria Pereka, Dr. Agnes Kijazi, na mama mwingine engineer alikuwa mamlaka ya viwanja vya ndege n.k, n.k

Ninachokisemea mimi ni woga wao katika kuingia kwenye ushindani mpaka inafikia hatua ya kung'ang'ania viti vya upendeleo. Nafikri jana ulisikia mpaka wanaimba "tu-na-taka haki yetuuuu", kwa hiyo haki yao ni kupewa viti vya upendeleo, wala si ushindani wa uwezo wa mtu katika kujieleza!!!

Kwa hiyo mkuu wala hakuna haja ya kuniitishia maandamano ya akina mama hapa jamvini kama ulivyofanya hapo juu!! Isipokuwa labda kama na wewe ni m-mama pengine labda nilikukwaza!! AKINA MAMA BADO SANAAAAAAAAAA!!

Ha ha ha hapana sikuchonganishi nao mkuu nakukumbusha kuwa wapo!!!!

Mkuu mimi ni mbaba zaid ya definition ya ubaba yenyewe!!!!

Hao uliowataja hawaingii sababu wana misimamo yao ambayo hawako tayari kuibwaga kwa sababu ya "caucus" na pia hata kwa hao vijana wabunge say amini nakwambia smart guys wakiingia humo bungeni hao wanaowika wote hawaonekani wako watu smart na hawana mpango na siasa!!!!

My take bado watu wapo wake kwa waume wenye uwezo mkubwa sana sana kabisa ila tu wanapiga mishe sababu hawataki na hawawezi suala la kulia na kuijipendekeza sana!!!!

Ila amini watu vichwa wapo wake kwa waume!!!!!!
Angalia sample ndogo tu humu JF then get a bigger picture!!!
 
Ndo maana ban ki moon alimfukuza huyu maana alikuwa anashindwa kuandika hata kuongoza vikao pale geneva
 
hajielewagi huyu,sijui hata Tanzania tunampendea nini...ni mzigo uliowashinda UN
 
Katika wenye uwezo huyo Asha Rose Migiro hayumo kabisa muondoe
 
Mama anatafuta umaarufu tu hakuna lolote! Yani anasimama anaongea mpaka mishipa ya shingo inasimama kujifanya anatetea wanawake wakati ni mbinu tu ya kujitafitia kuungwa mkono na akina mama! Wajinga ndio waliwao

Sina kawaida ya kuangalia Bunge la Katiba lakini jana jioni nikiwa mahali napata supu walikua wanaonyesha matangazo ya Bunge live kupitia TBC1. Huyu mama alisimama kwa mbwembwe na mikogo fulani hivi kuisuta kiana fulani Kamati ya Kanuni kwamba Kanuni hazijaandikwa kisheria.
Nakumbuka mwanakamati Jussa alimjibu vizuri tu lakini bado akakomaa jambo ambalo lilikua kupoteza muda na yeye akiwa ni kiongozi angeweza wasiliana na kamati na kutoa maoni yake. Ikafika AG wa Zanzibar akajibu kwamba maoni yake yamechukuliwa yatafanyiwa kazi!
Pale bungeni inaonekana ana kundi la akina mama washangiliaji ambao hata pumba wao kushangilia. Binafsi ndani ya muda mfupi kuangalia Bunge nilisikitishwa na jinsi baadhi ya Wabunge wanavyo tumia muda vibaya kwa kuongea pumba. Mwenyekiti mzee Kificho ana hekima sana!
 
huo ni upuuzi uliokosa mashiko....kama unaamini katika democracy basi unaamini katika competition..iweje hii nchi inayojiita ya kidemokrasia ituweke katika mfumo wa kuteuana..Nonsense
 
Hata hivyo vichwa unavyovisemea mkuu havijaingia huko kwa sababu havijiamini katika sera ya ushindani, period!! Vinasubiria viti vya upendeleo wa kutumia shimo!! Wanawake bure kabisa, ujasiri wa kushindana hawana, wabaki tu kuwa wasaidizi wetu kama walivyoumbwa tangu enzi ya Adam na Eva!! Mwanamama hata awe na PhD 10 (kama zipo) utakuta anagaragazwa na darasa la saba au form IV failure!!

Sasa eti watu nao walikuwa wanamwona Asha-Rose kuwa mgombea sahihi wa u-Rais?? Ataweza wapi kushindana huyu? Labda nako tupitishe sheria ya Jinsia (kuwa 2015 ni zamu ya wanawake). Mama huyu dhaifu sana sijui kwa nini bwana!!
haya ni matusi makubwa sana kwa wanawake wanaojitambua na wanaoweza. kwanza kabisa utambue wewe umemezwa na mfume dume ambao milele huwa mnaona wanawake si mali kitu.

nakuuliza swali dogo sana na naomba unijibu kama kweli wewe unatumia akili ama unakaili unayodhan ni ya kiume yenye uwezo juu ya kila jambo.

Leo hii likitemngenezwa bomu la kuua wanaume wote kwa mara moja duniani kote bado maisha yataendelea nikimaanisha hayatasimama. Lakini likitengenezwa bomu la kuua wanawake wote maisha yatasimama na hatimaye hapatakuwa na binadamu si wa kiike wala wa kiume dunian je wajua sababu ni nini??

ukitaka kujua power of a woman muulize Richard Petterson kwenye novo yake ya protect and defend utaona jins ambavyo hata wanaume wasomi kama Martin, Gage walivyo tolewa nishai na wanawake kama Caroline Masters na Sara Wash.
 
haya ni matusi makubwa sana kwa wanawake wanaojitambua na wanaoweza. kwanza kabisa utambue wewe umemezwa na mfume dume ambao milele huwa mnaona wanawake si mali kitu.

nakuuliza swali dogo sana na naomba unijibu kama kweli wewe unatumia akili ama unakaili unayodhan ni ya kiume yenye uwezo juu ya kila jambo.

Leo hii likitemngenezwa bomu la kuua wanaume wote kwa mara moja duniani kote bado maisha yataendelea nikimaanisha hayatasimama. Lakini likitengenezwa bomu la kuua wanawake wote maisha yatasimama na hatimaye hapatakuwa na binadamu si wa kiike wala wa kiume dunian je wajua sababu ni nini??

ukitaka kujua power of a woman muulize Richard Petterson kwenye novo yake ya protect and defend utaona jins ambavyo hata wanaume wasomi kama Martin, Gage walivyo tolewa nishai na wanawake kama Caroline Masters na Sara Wash.

Pumba zingine hizi, yaani wewe ndio bure kabisa nikisikia eti wewe ndio mwalimu unamfundisha mtoto wangu ni lazima nimuhamishe shule usije kumuambukiza ujinga.
 
Siyo wanawake wote wanapenda kubebwa ,kuna wale tunaoamini katika uwezo na si wa wanawake tu bali hata kwa wanaume,na hata kuna baadhi ya wanaume wanaopenda kubebwa pia.Hebu fikiria kuna watoto wangapi wa viongozi vijana wa kiume waliopewa nafasi kwa sababu tu Baba ni waziri,mkurugenzi mahali,balozi nk.Kwa hili pande zote zinatakiwa kulaumiwa tupigie kelele suala la kubebwa bila kuwa na uwezo.

Wanawake tunachohitaji ni kupewa nafasi na siyo kuwezeshwa sababu wapo tunaoweza bila kuwezeshwa.Tukiangalia akina bibi Titi,Sophia Kawawa japo walipewa nafasi za upendeleo lakini walionyesha uwezo wao kabla ya kupewa nafasi hizo.Kwa sasa tupo tunauwezo ila mfumo ndio unaofanya wanawake waugope.Mfano utagombea ubunge ukipata utaambiwa ulitembea na fulani na fulani ndiyo maana umepata.Tumuone mtu Kama Halima Mdee amejua anaweza akagombea ubunge amepata na leo anaonyesha uwezo wake,lakini hebu tuangalie ni jinsi huyu anavyotukanwa na kuoneka hafai mbele ya jamii,hilo ndilo kubwa kuliko uwezo wa kujitoa na kugombea nafasi za uongozi.

Makazini kwetu kuna baadhi ya wanawake tunawatoa jasho wanaume,kwa ufupi hatuhitaji kuwezeshwa tunahitaji kupewa nafasi sababu tunaweza.
 
Back
Top Bottom