it is a satanic archtecture, ukimmaliza mwanaume, umeua familia ha mwishowe ni ulimwengu wote. Financial support zote kwa sasa ni za kumwezesha mwanamke tu. Mwanamke akishakuwa na nguu ya kiuchumi, wachache sana wanabaki kuwa obedient.
madhara yake wanaume wengi wenye ndoa wako stressed sana na madhara yake nguvu zao za kiume ziko chini sana