Haki ya Kutaka Kujiua

Haki ya Kutaka Kujiua

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Nimefuatilia makala ya Star TV juu ya watu watano wanaosubiri hukumu ya mahakama iwapo kuna uwezekano wa kukatisha maisha yao kwa kujiua kutokana na sababu mbalimbali.

Awali aliyedai haki hiyo alijiua baada ya kuchoshwa na kusubiri hukumu ya mahakama na ameshitakia kesi ya mauaji japo ameshajiua.

Kadhia hii inaungwa mkono na watu maarufui akiwemo Askofu Desmoind Tutu aliyewahi kuwa mshindi wa tuzo ya Nobel.
 
Mi naona hii ni haki ya msingi kabisa endapo kweli una umwa na hupati nafuu kabisa bora ujitangulize kuliko kupata mateso!
 
Mi naona hii ni haki ya msingi kabisa endapo kweli una umwa na hupati nafuu kabisa bora ujitangulize kuliko kupata mateso!
tatizo ikihalalishwa itatumiwa vibaya hata wanaoakosa mlo mmoja watataka kujiua
 
jina lingine inatwa death with dignity
 
DignitySA supported Adv. Robin Stransham-Ford in his High Court application to have his constitutional right to assisted dying respected. We did so from the deep conviction that he had constitutional rights to human dignity and freedom to bodily and psychological integrity. We believe that all South Africans suffering from terminal pain and distress are being illegitimately denied these rights. This constitutes intolerable cruelty and injustice.
 
[h=1]Media release on legalising assisted dying[/h]
 
Self murder is a crime punishable to eternal condemnation in hell.
 
Nimefuatilia makala ya Star TV juu ya watu watano wanaosubiri hukumu ya mahaka iwapo kuna uwezekano wa kukatisha maisha yao kwa kujiua kutokana na sababu mbalimbali

awali aliyedai haki hiyo alijiua baada ya kuchoshwa na kusubiri hukumu ya mahakama na amsehitakia kesi ya mauaji japo ameshajiua

Kadhia hii inaungwa mkono na watu maarufui akiwemo Askofu Desmoind Tutu aliyewahi kuwa mshindi wa tuzo ya Nobel

Yeah I think people do have that right in some circumstaces especially when they see life is no longer interessed to them. You have the right to give out ur interest to life.
 
Yeah I think people do have that right in some circumstaces especially when they see life is no longer interessed to them. You have the right to give out ur interest to life.
so then i dont think we need a law...unajimaliza kimya kimya
 
so then i dont think we need a law...unajimaliza kimya kimya

We can write it down if possible,but i am sure it cannot pass along these conservatives Mps in our parliament.
I think it necessary to be written down so that people cannot be convicted.
 
Wasifanye maamuzi ya haraka wamtangulize mungu kabla ya yote.Hayo ni mapepo yanasababisha watu wajinyonge,
 
Tatizo kule Ahera hutakiwi kujipeleka, inatakiwa upelekwe! Ukijipeleka kabla ya siku zako, unakuwa na kesi nyingine ya kujibu!
 
we can write it down if possible,but i am sure it cannot pass along these conservatives mps in our parliament.
I think it necessary to be written down so that people cannot be convicted.

ok, may be proving beyond doubt can limit the worse case scenarios
 
Back
Top Bottom