HAKI YA MWANAMKE TANZANIA kwa alfu 10 tu.

Hute

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,537
Reaction score
6,472
kuna kitabu kimoja nimekinunua kwa wauza magazeti kwa alfu kumi, ni kitabu cha sheria. nilichokikuta ndani ni zaidi ya hela niliyonunulia, nimejiuliza sababu ya kuuza kitabu kile kwa bei ndogo ni kwanini, au mwandishi hajiamini ubora wake?kwasababu vitabu vya sheria huuzwa garama sana. lakini hata hivyo, haki ya mwanamke katika ndoa ni nini kulingana na mafundisho ya dini, tufafika kweli? kwa mwenye link naomba aweke hapa.
 
Haki ya msingi kwa mwanamke ni kupata elimu, mengine follows.
Utadai haki kama mme kakutelekeza, akifa na hali hakuwa na akiba ya maana?

Ila na hizi sheria zitasaidia kwa wale waliochelewa kuweza kujikwamua.
 
Haki ya msingi kwa mwanamke ni kupata elimu, mengine follows.
Utadai haki kama mme kakutelekeza, akifa na hali hakuwa na akiba ya maana?

Ila na hizi sheria zitasaidia kwa wale waliochelewa kuweza kujikwamua.
Ndugu Kongosho! umesema kweli kabisa, mwanamke anastahili haki ya kupata elimu. however, nilichokuwa naongelea hapa specifically ni haki ya mwanamke mtu mzima sio watoto, yule aliyeolewa, aliyetelekezwa na mimba au mtoto mwanaume hahudumii, anayenyimwa mirathi baada ya mume wake kufariki n.k, yaani mwanamke yule aliyefikwa na matatizo kama hayo. hiyo ya kumpeleka shule, inawezekana au haiwezekani wakati mwingine kuwa ni wajibu wa mume wake hata hivyo. hayo mambo ya elimu tunategemea mwanamke aliyefikia umri wa above 30 awe ameshavipata sasa yuko kwenye ndoa au ana watoto etc na yamemfika matatizo hayo niliyoorodhesha.

kuna wanawake wengi tu wamesoma vizuri, lakini wanakuja kunyimwa haki zao kwenye mirathi, ndoa, kutelekezewa watoto au mimba n.k, kumbuka yule mama aliyelala kwenye paa la nyumba mbezi majuzi....hata kama angekuwa amesoma sana mwanamke anapofikia kuona nyumba yake mfano inayang'anywa na mashemeji na ina thamani ya milioni mia tano....hapo atahitaji msaada wa haya niliyoongelea. zaidi ya yote, elimu ni haki ya kila mtu, awe mwanamke au mwanaume. View attachment 98199View attachment 98199

View attachment 98198View attachment 98198View attachment 98198View attachment 98198
 
Sasa kinapatikana Arusha katika duka la KASE STORE BOOKSHOP mtaa BOMA ROAD ELCT building. utakipata kwa shilingi alfu kumi tu. na si zaidi ya hapo...
 
Dodoma kinapatikana open university of Tanzania stationary ipo pale ndani. pia vincent bookshop city centre, utakipaa pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…