japhet wilbart
Member
- Sep 17, 2014
- 5
- 1
Kutokana na sheria za milathi za kila aina tukianza na ile ya India ya mwaka 1885 na sheri za kimila pamoja na sheria za kiislaam hazmpi mtoto wa nje ya ndoa uhalali wa kulithi mali. Maoni yangu ni kwamba kwa kua wtoto hawana makosa na wanaachwa ktka mzngira magum hauoni kwmba wakat umefka izo sheria zilekebishwe na uwepo utartibu ambao utamwezesha huyu mtto kupata angalau asilimia fulani ya mali ya marehm. Ww unasemaje tupia maoni yako hapa
Kama umesoma islamic law, tofauti kubwa kati ya sheria za kiislam na sheria hiz za nchi na za kimila ni kwamba,
(1)sheria za kiislam ni maamrisho ya mungu
(2) hivyo sheria za kiislam hazifanyiw amendment na binadamu
kuhusu mtoto wa nje uislam hamkandamiz huyo mtoto na umeonya wagawa urithi kwenda kinyume na maamrisho hayo na kujifanya wana huruma kuliko sheria ya kiislam kwa kumpa urithi usiomhusu.
MTOTO WA NJE YA NDOA ANAPATA NINI?
sheria za kiislam mtoto wa nje ya ndoa hamrithi baba bali humrithi mama, hivyo urithi wake uko kwa mama yake.
ama baba yake akitaka asimwache hiv hiv bas ampe hicho kitu au sehem ya mali akiwa hai kabla baba hajafa inakubalika, lkn akifa tu baba huyo mtoto hatapata kitu.
SULUHISHO
ni kuacha zinaa kabla ndoa na kuepuka michepuko kwan hakuna amendment itayofanywa na binadam ktk islamic law, kufanya hivyo kidin ni kuacha amri za mungu na kuingiza fikra za kibinadam jambo ambalo haliwez kubalika
Sheria ya Kiislamu SIO maamrisho ya Mungu, ila watu fulani wanaamini kuwa ni maamrisho ya Mungu.Kama umesoma islamic law, tofauti kubwa kati ya sheria za kiislam na sheria hiz za nchi na za kimila ni kwamba,
(1)sheria za kiislam ni maamrisho ya mungu
(2) hivyo sheria za kiislam hazifanyiw amendment na binadamu
kuhusu mtoto wa nje uislam hamkandamiz huyo mtoto na umeonya wagawa urithi kwenda kinyume na maamrisho hayo na kujifanya wana huruma kuliko sheria ya kiislam kwa kumpa urithi usiomhusu.
MTOTO WA NJE YA NDOA ANAPATA NINI?
sheria za kiislam mtoto wa nje ya ndoa hamrithi baba bali humrithi mama, hivyo urithi wake uko kwa mama yake.
ama baba yake akitaka asimwache hiv hiv bas ampe hicho kitu au sehem ya mali akiwa hai kabla baba hajafa inakubalika, lkn akifa tu baba huyo mtoto hatapata kitu.
SULUHISHO
ni kuacha zinaa kabla ndoa na kuepuka michepuko kwan hakuna amendment itayofanywa na binadam ktk islamic law, kufanya hivyo kidin ni kuacha amri za mungu na kuingiza fikra za kibinadam jambo ambalo haliwez kubalika
waweka sheria hizi walikuwa na agenda zao. Yaani mtotot wa kwangu, mali nimetafuta mimi. Ninarithisha nitakavyo mimi. Eti apate moja ya tatu, mtoto wangu!!!! labda kama nilisingiziwa, Sheria zingine kama hizi ni kandamizi. Eti atapata kwa mama yake, kwani alimpata huyo mtoto akiwa pekee yake. Tuache unyanyasaji kwa watoto, jamaniKama umesoma islamic law, tofauti kubwa kati ya sheria za kiislam na sheria hiz za nchi na za kimila ni kwamba,
(1)sheria za kiislam ni maamrisho ya mungu
(2) hivyo sheria za kiislam hazifanyiw amendment na binadamu
kuhusu mtoto wa nje uislam hamkandamiz huyo mtoto na umeonya wagawa urithi kwenda kinyume na maamrisho hayo na kujifanya wana huruma kuliko sheria ya kiislam kwa kumpa urithi usiomhusu.
MTOTO WA NJE YA NDOA ANAPATA NINI?
sheria za kiislam mtoto wa nje ya ndoa hamrithi baba bali humrithi mama, hivyo urithi wake uko kwa mama yake.
ama baba yake akitaka asimwache hiv hiv bas ampe hicho kitu au sehem ya mali akiwa hai kabla baba hajafa inakubalika, lkn akifa tu baba huyo mtoto hatapata kitu.
SULUHISHO
ni kuacha zinaa kabla ndoa na kuepuka michepuko kwan hakuna amendment itayofanywa na binadam ktk islamic law, kufanya hivyo kidin ni kuacha amri za mungu na kuingiza fikra za kibinadam jambo ambalo haliwez kubalika
waweka sheria hizi walikuwa na agenda zao. Yaani mtotot wa kwangu, mali nimetafuta mimi. Ninarithisha nitakavyo mimi. Eti apate moja ya tatu, mtoto wangu!!!! labda kama nilisingiziwa, Sheria zingine kama hizi ni kandamizi. Eti atapata kwa mama yake, kwani alimpata huyo mtoto akiwa pekee yake. Tuache unyanyasaji kwa watoto, jamani
Tuwe wakweli kuna mtoto anayepatikana kwa bahati mbaya!!!!! Sasa mtu unafanya mapenzi bila kizuia mimba/kondomu, unatarajia nini zaidi ya mimba!!! Kusema kuwa kuna utaratibu, huo utaratibu anapanga mtafutaji sio mtoto. Baba lazima sio ombi uweke mazingira mazuri kwa ajili ya watoto wakoBwana mwakaboko, kuna njia nyingi za kumrithisha mtoto wa nje ya ndoa zaidi ya 1/3 hata kama wewe ni muislamu. The only thing is to consult a lawyer.