japhet wilbart
Member
- Sep 17, 2014
- 5
- 1
Kutokana na sheria za mirathi za kila aina tukianza na ile ya India ya mwaka 1885 na sheria za kimila pamoja na sheria za Kiislaam hazimpi mtoto wa nje ya ndoa uhalali wa kurithi mali.
Maoni yangu ni kwamba kwa kua watoto hawana makosa na wanaachwa katika mazingira magumu hauoni kwmba wakat umefika izo sheria zirekebishwe na uwepo utartibu ambao utamwezesha huyu mtto kupata angalau asilimia fulani ya mali ya marehemu.
Wewe unasemaje?
Maoni yangu ni kwamba kwa kua watoto hawana makosa na wanaachwa katika mazingira magumu hauoni kwmba wakat umefika izo sheria zirekebishwe na uwepo utartibu ambao utamwezesha huyu mtto kupata angalau asilimia fulani ya mali ya marehemu.
Wewe unasemaje?