Ndera
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 653
- 548
Wakuu,
Habarini za majukumu nikiwatakia sikukuu njema ya Xmass na heri ya mwaka mpya 2017.
Naomba niingie ktk mada kama nilivyoeleza hapo juu. Naomba kujua haki zangu niwapo ktk kikao cha nidhamu (Hearing) maana wengi wetu tunahudhuria vikao hivi bila kujua nini hasa natakiwa kupewa (documents) mwanzo na baada ya kumaliza kikao.
Asante, nawasilisha.
Habarini za majukumu nikiwatakia sikukuu njema ya Xmass na heri ya mwaka mpya 2017.
Naomba niingie ktk mada kama nilivyoeleza hapo juu. Naomba kujua haki zangu niwapo ktk kikao cha nidhamu (Hearing) maana wengi wetu tunahudhuria vikao hivi bila kujua nini hasa natakiwa kupewa (documents) mwanzo na baada ya kumaliza kikao.
Asante, nawasilisha.