Haki za Binadamu: Rais Samia anayo dhamira ya kweli? Kuna kesi za ajabu zinaendelea

Haki za Binadamu: Rais Samia anayo dhamira ya kweli? Kuna kesi za ajabu zinaendelea

w0rM

Member
Joined
May 3, 2011
Posts
81
Reaction score
192
Kuna kesi kadhaa zinaendelea mahakama kadhaa nchini (Dar, Kilimanjaro, Iringa etc) kisa wahusika eti ‘hawakuwa na leseni ya Online TV’.

Huu ni uonevu uliotoka awamu iliyopita na inaonekana unaendelezwa katika awamu hii.

Kesi hizi zenye kulenga kutisha au kunyamazisha watu kwa kutumia sheria kandamizi zinatakiwa kufika mwisho vinginevyo tunaigiza kuwa na utawala bora unaotumia sheria kandamizi kutisha raia.
 
Mama Samia is "a monster you are trying to make." Mnamdhihaki, mnamtukana, mnambeza... ili siku akiamua "liwalo na liwe" mumuite dikteta.

Na ndio maana hamtaki kuwaambia Watanzania ni wanachama wangapi wa upinzani wameachiwa huru tangu Mama Samia aingie madarakani
 
Kuna wakati tumwache Rais afanye kazi zake

Na kama watu hawataki kesi watii sheria na wakionewa wafuate sheria
 
Mama Samia is "a monster you are trying to make." Mnamdhihaki, mnamtukana, mnambeza... ili siku akiamua "liwalo na liwe" mumuite dikteta.

Na ndio maana hamtaki kuwaambia Watanzania ni wanachama wangapi wa upinzani wameachiwa huru tangu Mama Samia aingie madarakani

KAZI IENDELEE
 
Mama Samia is "a monster you are trying to make." Mnamdhihaki, mnamtukana, mnambeza... ili siku akiamua "liwalo na liwe" mumuite dikteta.

Na ndio maana hamtaki kuwaambia Watanzania ni wanachama wangapi wa upinzani wameachiwa huru tangu Mama Samia aingie madarakani
kabisa cdm n wahuni
 
Mama Samia is "a monster you are trying to make." Mnamdhihaki, mnamtukana, mnambeza... ili siku akiamua "liwalo na liwe" mumuite dikteta.

Na ndio maana hamtaki kuwaambia Watanzania ni wanachama wangapi wa upinzani wameachiwa huru tangu Mama Samia aingie madarakani

..tusaidie kuufahamu UKWELI.

..wanachama wangapi wa Chadema wametolewa magerezani tangu Rais SSH aingie madarakani.

..pia wangapi wanaendelea kushikiliwa na wanashikiliwa kwa mashtaka gani.

..mwisho, wangapi wamekamatwa tangu Rais SSH aingie na wamekamatwa kwasababu zipi.
 
Ndiyo maana tunasema maagizo yooote ya Samia aliyoyafanya kwa mdomo bila kubadili sheria kandamizi ni danganya toto. If you don't change the law then your sporadic kindness doesn't matter at all
 
Mama Samia is "a monster you are trying to make." Mnamdhihaki, mnamtukana, mnambeza... ili siku akiamua "liwalo na liwe" mumuite dikteta.

Na ndio maana hamtaki kuwaambia Watanzania ni wanachama wangapi wa upinzani wameachiwa huru tangu Mama Samia aingie madarakani
Aliyeleta Uzi ni mpinzani? Unalazimisha watu watumie approach yako ya kuomba huruma and it's pathetic. You are grown behave like one.
 
Muwaache watu waongee watoe machungu yao,lakini matusi si ustaarabu hatupo vijiweni hapa.
 
Huyo Samia Hasani jana katuma watu polisi wakamuue Mbowe kwa sumu Leo anaumwa huyo ndio mnamwita Mama??? Siwezi kuwa na mama mshe.n.zii kama huyo majicho magenye
 
Mama amefanya mengi toka aingie madarakani, angalau vyama vya siasa na vyombo vya habari vimepata nafasi ya kupumua.

Bahati mbaya uhuru ambao mama amewaachia unatumika vibaya, kiasi cha Mbowe kuanza ugaidi. Hebu tuwe wavumilivu
 
Kuna kesi kadhaa zinaendelea mahakama kadhaa nchini (Dar, Kilimanjaro, Iringa etc) kisa wahusika eti ‘hawakuwa na leseni ya Online TV’.

Huu ni uonevu uliotoka awamu iliyopita na inaonekana unaendelezwa katika awamu hii.

Kesi hizi zenye kulenga kutisha au kunyamazisha watu kwa kutumia sheria kandamizi zinatakiwa kufika mwisho vinginevyo tunaigiza kuwa na utawala bora unaotumia sheria kandamizi kutisha raia.
Huyu mama ni hatari zaidi ya mwenda zake,,, ipo siku tutaliwa na kujuta
 
Kuna kesi kadhaa zinaendelea mahakama kadhaa nchini (Dar, Kilimanjaro, Iringa etc) kisa wahusika eti ‘hawakuwa na leseni ya Online TV’.

Huu ni uonevu uliotoka awamu iliyopita na inaonekana unaendelezwa katika awamu hii.

Kesi hizi zenye kulenga kutisha au kunyamazisha watu kwa kutumia sheria kandamizi zinatakiwa kufika mwisho vinginevyo tunaigiza kuwa na utawala bora unaotumia sheria kandamizi kutisha raia.
Kwa suala la katiba mpya,ubambikaji Bila shaka utarudi huenda Sasa zile za ugaidi,uhujumu uchumu,utakatishaje fweza zikawa nyingi na mahbsu zikaenea zaidi.
 
Kuna kesi kadhaa zinaendelea mahakama kadhaa nchini (Dar, Kilimanjaro, Iringa etc) kisa wahusika eti ‘hawakuwa na leseni ya Online TV’.

Huu ni uonevu uliotoka awamu iliyopita na inaonekana unaendelezwa katika awamu hii.

Kesi hizi zenye kulenga kutisha au kunyamazisha watu kwa kutumia sheria kandamizi zinatakiwa kufika mwisho vinginevyo tunaigiza kuwa na utawala bora unaotumia sheria kandamizi kutisha raia.
Bibi kalewa juice ya miwa.
 
Mama Samia is "a monster you are trying to make." Mnamdhihaki, mnamtukana, mnambeza... ili siku akiamua "liwalo na liwe" mumuite dikteta.

Na ndio maana hamtaki kuwaambia Watanzania ni wanachama wangapi wa upinzani wameachiwa huru tangu Mama Samia aingie madarakani
Alowachagua kumsaidia kazi wanaharibu nayee amekuwa mpole sana.
Akiwaachia basi watampanda kichwani na mwishowe ataendeshwa.
 
Ni punguani peke yake ndiye anaweza kuwaamini CCM katika utawala unaozingatia haki za binadamu
 
Back
Top Bottom