Mama Samia is "a monster you are trying to make." Mnamdhihaki, mnamtukana, mnambeza... ili siku akiamua "liwalo na liwe" mumuite dikteta.
Na ndio maana hamtaki kuwaambia Watanzania ni wanachama wangapi wa upinzani wameachiwa huru tangu Mama Samia aingie madarakani
kabisa cdm n wahuniMama Samia is "a monster you are trying to make." Mnamdhihaki, mnamtukana, mnambeza... ili siku akiamua "liwalo na liwe" mumuite dikteta.
Na ndio maana hamtaki kuwaambia Watanzania ni wanachama wangapi wa upinzani wameachiwa huru tangu Mama Samia aingie madarakani
Mama Samia is "a monster you are trying to make." Mnamdhihaki, mnamtukana, mnambeza... ili siku akiamua "liwalo na liwe" mumuite dikteta.
Na ndio maana hamtaki kuwaambia Watanzania ni wanachama wangapi wa upinzani wameachiwa huru tangu Mama Samia aingie madarakani
Aliyeleta Uzi ni mpinzani? Unalazimisha watu watumie approach yako ya kuomba huruma and it's pathetic. You are grown behave like one.Mama Samia is "a monster you are trying to make." Mnamdhihaki, mnamtukana, mnambeza... ili siku akiamua "liwalo na liwe" mumuite dikteta.
Na ndio maana hamtaki kuwaambia Watanzania ni wanachama wangapi wa upinzani wameachiwa huru tangu Mama Samia aingie madarakani
Huyu mama ni hatari zaidi ya mwenda zake,,, ipo siku tutaliwa na kujutaKuna kesi kadhaa zinaendelea mahakama kadhaa nchini (Dar, Kilimanjaro, Iringa etc) kisa wahusika eti ‘hawakuwa na leseni ya Online TV’.
Huu ni uonevu uliotoka awamu iliyopita na inaonekana unaendelezwa katika awamu hii.
Kesi hizi zenye kulenga kutisha au kunyamazisha watu kwa kutumia sheria kandamizi zinatakiwa kufika mwisho vinginevyo tunaigiza kuwa na utawala bora unaotumia sheria kandamizi kutisha raia.
Kwa suala la katiba mpya,ubambikaji Bila shaka utarudi huenda Sasa zile za ugaidi,uhujumu uchumu,utakatishaje fweza zikawa nyingi na mahbsu zikaenea zaidi.Kuna kesi kadhaa zinaendelea mahakama kadhaa nchini (Dar, Kilimanjaro, Iringa etc) kisa wahusika eti ‘hawakuwa na leseni ya Online TV’.
Huu ni uonevu uliotoka awamu iliyopita na inaonekana unaendelezwa katika awamu hii.
Kesi hizi zenye kulenga kutisha au kunyamazisha watu kwa kutumia sheria kandamizi zinatakiwa kufika mwisho vinginevyo tunaigiza kuwa na utawala bora unaotumia sheria kandamizi kutisha raia.
Bibi kalewa juice ya miwa.Kuna kesi kadhaa zinaendelea mahakama kadhaa nchini (Dar, Kilimanjaro, Iringa etc) kisa wahusika eti ‘hawakuwa na leseni ya Online TV’.
Huu ni uonevu uliotoka awamu iliyopita na inaonekana unaendelezwa katika awamu hii.
Kesi hizi zenye kulenga kutisha au kunyamazisha watu kwa kutumia sheria kandamizi zinatakiwa kufika mwisho vinginevyo tunaigiza kuwa na utawala bora unaotumia sheria kandamizi kutisha raia.
Alowachagua kumsaidia kazi wanaharibu nayee amekuwa mpole sana.Mama Samia is "a monster you are trying to make." Mnamdhihaki, mnamtukana, mnambeza... ili siku akiamua "liwalo na liwe" mumuite dikteta.
Na ndio maana hamtaki kuwaambia Watanzania ni wanachama wangapi wa upinzani wameachiwa huru tangu Mama Samia aingie madarakani