truegooner
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 779
- 338
Habari zenu wadau. Mimi naombeni kujuzwa tu kiudadisi, je sisi wapangaji wa eidha chumba au nyumba tuna haki yoyote ya kisheria baada ya kukubaliana ya kwenye mkataba? Asanteni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kujenga yako tu mkuu.
Hakuna haki kwenye mali za watu.