Tuandamane
JF-Expert Member
- Feb 2, 2008
- 1,221
- 55
Akitoa mfano, Ndugai alisema kuwa hali inayofanana na hii, iliwahi kutokea huko Zambia miaka kadhaa iliyopita na kusababisha serikali iliyokuwa madarakani kung'olewa
kaitwa au kapata ajali mbaya sana wakati anaelekea jimboni kwake... Namtakia maisha marefukuna mbunge mmoja wa ccm leo kanifurahisha. Huyu ni bwana james wanyancha wa serengeti. Huyu amekuwa na ujasiri wa kusema kuwa sasa hivi elimu yetu imevurugwa kufikia kiwango cha kuwa na watu wengi wanaodai kuwa na phd lakini ukiwauliza wamechukulia wapi wanakuwa hawana majibu. Akielezea visingizio vya serikali kushindwa mambo mengi kutokana na kukosa fedha, alisema bei ya shangingi moja inatosha kujaza komputa kwenye shule nyingi. Huwezi amini wakubwa walivyokuwa wamemkodolea macho. Sitashangaa nikija kusikia kuwa baadaye aliitwa.
Rakeshi Rajani alishaondoka HAKI ELIMU akaja mkurugenzi mpya mwanamke ,jina limenitoka
Ipo imejaa tele hapa: HaKiElimu - Welcome to HakiElimu
Compa:
Hupo kwenye haki elimu pia. Hila achana na Ujamaa ni Imani. Vipi kazi za De Soto huko bongo? Ndio mna-implement Saccos? Na mamilioni ya JK?
Its simple,
RAJANI is a NATURAL BORN ACTIVIST, The new lady she is Carrier ACTIVIST..
omarilyas
Well! the work of Natural Born Activist won't be meaning full if there is no continuation of his work. I found it ironic, for him to make the public pay attention with Kayumba, make HakiElimu invisible with his departure. I think the beauty of starting anything, it to see it grow.
I wonder, if he natured anybody to take his role! He should have! I think our Madam is doing great; at least the organization is not bankruptcy. She will find her way!
Lets stop praising individuals alone, let look into institution mechanism they left behind!
Its simple,
RAJANI is a NATURAL BORN ACTIVIST