HakiElimu vs Govt: The saga

HakiElimu vs Govt: The saga

Haki-Elimu kwa ujumla tunaweza sema imepoteza muelekeo na haisikiki kama awali, nashaurika kuamini kuwa ilikuwa NGI na si NGO kwa kutazama muelekeo wake baada ya Rakesh kuondoka. Tulizoea kuona ikibainisha changamoto za ki-elimu, rais na haki kwa ujumla. Sasa naona watu walikuwa katika harakati hizo ikiwa ni pamoja na Generali Ulimwengu kuendelea kueleza changamoto kupitia gazeti la Raia Mwema kwa kutazama michango yake katika sector ya Elimu.

Huku kupotea kwa Haki-Elimu kunatupa maswali mengine zaidi, mfano; Je, serikali imefanikiwa kuizima kwa njia mbadala baada ya zile za awali kushindwa? Je, mkurugenzi na management iliyopo imepoteza muelekeo au haina uweze wa kuamsha tena hisia za watu katika kutambua uwezo wa kiutendaji wa serikali? na maswali mengine lukuki.
 
Haki-Elimu kwa ujumla tunaweza sema imepoteza muelekeo na haisikiki kama awali, nashaurika kuamini kuwa ilikuwa NGI na si NGO kwa kutazama muelekeo wake baada ya Rakesh kuondoka. Tulizoea kuona ikibainisha changamoto za ki-elimu, rais na haki kwa ujumla. Sasa naona watu walikuwa katika harakati hizo ikiwa ni pamoja na Generali Ulimwengu kuendelea kueleza changamoto kupitia gazeti la Raia Mwema kwa kutazama michango yake katika sector ya Elimu.

Huku kupotea kwa Haki-Elimu kunatupa maswali mengine zaidi, mfano; Je, serikali imefanikiwa kuizima kwa njia mbadala baada ya zile za awali kushindwa? Je, mkurugenzi na management iliyopo imepoteza muelekeo au haina uweze wa kuamsha tena hisia za watu katika kutambua uwezo wa kiutendaji wa serikali? na maswali mengine lukuki.

..Ninaungana nawe kwa sehemu ktk hilo maana nahisi linaweza likawa lina connection ya kuvunjika kwa TUCTA na kuanzishwa FIBUKA (zibuka) kwani ile falsafa ya gawanya utawale wengi wanaidharau lakini mabingwa wa mbinu chafu wanaitumia ipasavyo...
Labda pengine tuone kulifanyika mapinduzi baridi pale HakiElimu (ingawa naliona jina la Rakesh ktk orodha ya members) halafu sirikali ikaleta mtu au watu wake kwa mlango usioonekana. Serikali haipendi kukosolewa ila pia haiungi mkono juhudi za wadau kuishauri. Kwa mfano jinsi ambavyo inahaha (kupitia mamluki) kutaka kuishusha JF ni mojawapo wa mifano hai....

NB: Kuna MGO naifahamu inayoendelea kufanya kazi (si maarufu) ila imekuwa chachu kubwa sana ktk maendeleo ya usomaji na vitabu, sierikali haijawahi kuipongeza walau kuonesha nia ya kuwakubali au kuwashirikisha ktk mipango ya kuinua sekta ya usomaji nchini pamoja na kuboresha uchapishaji wa vitabu bora vya elimu na ziada hapa nchini click hapa http://www.cbp.or.tz... Hili dubwasha serikali sielewi ibebwe vipi?
Kaazi kweli kweli
 
Hanging out some "controversial" stuff to get cheap popularity while there is no succession plan, and/or dish out sometimes wrong information and/or trying to portray that you are for the people etc etc and then coming out with no solution whatsoever will lead to the rise and fall of any organization, HakiElimu included.

They introduced Kanumba, supposedly introduced some misguided portrayals of the hali halisi za shule zetu (kweli zingine zina hali mbaya sana), Rajani and the organization became the toast of the town but at the end the adverts came out as blaming the government over and over - what are you offering in terms of a suitable workable solution? If its none then HakiElimu's demise is there to see.

What have you done for your country lately?
 
Hanging out some "controversial" stuff to get cheap popularity while there is no succession plan, and/or dish out sometimes wrong information and/or trying to portray that you are for the people etc etc and then coming out with no solution whatsoever will lead to the rise and fall of any organization, HakiElimu included.

They introduced Kanumba, supposedly introduced some misguided portrayals of the hali halisi za shule zetu (kweli zingine zina hali mbaya sana), Rajani and the organization became the toast of the town but at the end the adverts came out as blaming the government over and over - what are you offering in terms of a suitable workable solution? If its none then HakiElimu's demise is there to see.

What have you done for your country lately?

Rakesh started HakiElimu and has left it for others to carry on! The good work HakiElimu earned it a lot of donor funds and it still receiving them. It is not bankrupt!

Rakesh is now on Twaweza, a ten years initiative that seeks to enable people of Tanzania, Kenya and Uganda to improve their quality of life through bold, citizen-centred approach to development and public accountability.....link Information on Twaweza / Home - Hivos Online, Humanistisch Instituut voor Ontwikkelingssamenwerking

As you can see, Rakesh has moved to another bigger role in social responsibility. People of Rakesh's kind need our support and not discouragement.
 
Rakesh started HakiElimu and has left it for others to carry on! The good work HakiElimu earned it a lot of donor funds and it still receiving them. It is not bankrupt!

Rakesh is now on Twaweza, a ten years initiative that seeks to enable people of Tanzania, Kenya and Uganda to improve their quality of life through bold, citizen-centred approach to development and public accountability.....link Information on Twaweza / Home - Hivos Online, Humanistisch Instituut voor Ontwikkelingssamenwerking

As you can see, Rakesh has moved to another bigger role in social responsibility. People of Rakesh's kind need our support and not discouragement.

Ain't nobody discouraging anyone, and nobody said they bankrupt either. He seems to have moved on to bigger things (good for him) but what has he left behind?

Hopefully there he will refrain from deploying cheap tricks to get his initiative rolling. That cheap popularity game gets nobody anywhere - ask A. Lyatonga Mrema
 

Wanajaribu kufanya kazi nzuri kukuza elimu lakini tungeanza na HakiElimu wenyewe. Ujumbe ulio mbele ya tovuti katika link hiyo unaonyesha Rajani amewaacha hali yao mahamumu.

Wanajieleza, "HakiElimu works to realize equity, quality, human rights and democracy in education." Lakini chapa lao linalopanda tovuti linasema "People Making Difference in Education and Democracy."

Kwa ujumbe wa chapa yake, taasisi imejinadi kama ni chombo cha kujihusisha na harakati za kukuza demokrasia na elimu, kitu kinachotofautiana na kile wanachokisema katika sentensi ya kwanza wanapo tambulisha malengo yao wakisema "...kutafuta kukua kwa demokrasia katika elimu." Big difference. Wanaweza wakakosa support ya watu ambao wanataka kukaa mbali na mambo yanayofanana na siasa kumbe lengo la taasisi ni kusaidia watoto wa shule, na sio siasa za demokrasia. Big difference.

Wakachemka zaidi. Kinachofuata baada ya hapo kinasema "HakiElimu’s Vision is that every person in Tanzania is able to enjoy his or her right to basic quality education in schools that respect a person’s dignity..." Ni nini hapo wanachosema wanataka ki respect a person's dignity? Ni right, ni education, ama ni schools? Kama ni right ama ni education ilibidi waseme "respects." Kama ni schools wanahitaji mpangilio mpya wa sentensi.

Huwezi ukajiita taasisi ya elimu halafu usitilie maanani, uvuruge, mpangilio wa sentensi na sarufi.

Huwezi ukachemsha hata kuandika propaganda ya mission statement! Mpaka kwenye kauli mbiu ya taasisi?!

Kauli mbiu inasema "People making difference..."! Making difference?
 
Rakesh is now on Twaweza, a ten years initiative that seeks to enable people of Tanzania, Kenya and Uganda to improve their quality of life through bold, citizen-centred approach to development and public accountability.....link Information on Twaweza / Home - Hivos Online, Humanistisch Instituut voor Ontwikkelingssamenwerking
.

Big social responsibility to who! For those who want to civilize us!

The true social change have never been imposed my friend – otherwise everyday we are becoming new students and activists of new causes – selling our grounds for funds. Our agencies are loosing power in finding its freedom because the means are alien to us. You can't change ways of people’s lives, without allowing forces of lived experiences to inform their consciousness. Our collective consciousness is lying to us – that we are poor or corrupt because there is something wrong with us! I find no wrong in me! Perhaps the only wrong I commit, is not take action, or stop and think! What is it meaningful in this life for me and my people? To find that subjectivity to bring change and understand what matters to people!

I find no reason to critic him, though; we are our own foundation for social change. It me and you! Not a donor, no east African communities, rather it is us within our social context! It is from that background, Rajesh is questioned
 
Ain't nobody discouraging anyone, and nobody said they bankrupt either. He seems to have moved on to bigger things (good for him) but what has he left behind?

Hopefully there he will refrain from deploying cheap tricks to get his initiative rolling. That cheap popularity game gets nobody anywhere - ask A. Lyatonga Mrema

Wewe unalako jambo na Rakesh!
U even dare to compare Rakesh to Mrema??
You are here to call the hard work of HakiElimu cheap tricks?? Sikubali kuamini haya maneno ni ya mtanzania mwenzangu..huna ndugu vijijini wewe? Wanaosoma kwa tabu na mazingira ya ajabu ajabu due to lack of responsibility at government level?
Usijitafutie laaana. Kama unashida na Rakesh mkosoe yeye lakini kazi yake inaongea yenyewe.
 
Wanajaribu kufanya kazi nzuri kukuza elimu lakini tungeanza na HakiElimu wenyewe. Ujumbe ulio mbele ya tovuti katika link hiyo unaonyesha Rajani amewaacha hali yao mahamumu.

Wanajieleza, "HakiElimu works to realize equity, quality, human rights and democracy in education." Lakini chapa lao linalopanda tovuti linasema "People Making Difference in Education and Democracy."

Kwa ujumbe wa chapa yake, taasisi imejinadi kama ni chombo cha kujihusisha na harakati za kukuza demokrasia na elimu, kitu kinachotofautiana na kile wanachokisema katika sentensi ya kwanza wanapo tambulisha malengo yao wakisema "...kutafuta kukua kwa demokrasia katika elimu." Big difference. Wanaweza wakakosa support ya watu ambao wanataka kukaa mbali na mambo yanayofanana na siasa kumbe lengo la taasisi ni kusaidia watoto wa shule, na sio siasa za demokrasia. Big difference.

Wakachemka zaidi. Kinachofuata baada ya hapo kinasema "HakiElimu's Vision is that every person in Tanzania is able to enjoy his or her right to basic quality education in schools that respect a person's dignity..." Ni nini hapo wanachosema wanataka ki respect a person's dignity? Ni right, ni education, ama ni schools? Kama ni right ama ni education ilibidi waseme "respects." Kama ni schools wanahitaji mpangilio mpya wa sentensi.

Huwezi ukajiita taasisi ya elimu halafu usitilie maanani, uvuruge, mpangilio wa sentensi na sarufi.

Huwezi ukachemsha hata kuandika propaganda ya mission statement! Mpaka kwenye kauli mbiu ya taasisi?!

Kauli mbiu inasema "People making difference..."! Making difference?

Kuhani,

Mimi nilishasema kuwa proofreading bongo seems to be an extraneous extravagance. This is the face of the organisation to the world, presumably imprinted on every business card they hand out, if they do have business cards of course.

The litmus test would be their response or lack of once somebody write them and point out these deficiencies in their proficiency.Hata NYT huwa wanachemsha (sijaona kama hivi though), lakini wakiandikiwa wanarekebisha na ku acknowledge kuwa wamechemsha.

Waandikie tuone kama wana watu wanaofanya kazi au wanalala tu.
 
Kuhani na Kiranga,

nakubaliana na maoni yenu kwa upande we lugha, kwa sababu hata mimi tatizo hilo ninalo - hasa pale napotoa taafiri ya mawazo yangu kutoka lugha moja kwenda nyingine. Lakini lazima tukumbuke, sio watu wote wamejaliwa kuwa na utaalamu wa lugha, kwahiyo sioni kitu cha ajabu kama HakiElimu sentensi zake zilishidwa kurandana na malengo ya taasisi. Ila ni udhaifu, wa kushidwa kupeleka maandiko yao kwa wataalamu yakasanifiwa.

Pili, kwa sasa tunatatizo kubwa la lugha kutokana na makuzi yetu. Kwa upande we Rejeshi, utakuta anafikiria kihindi, wakati mwingine kiswahili, na wakati mwingine kingereza, wakati mimi nafikiria kisubwa, kiswahili, na kizungu. Wakati nipo kijana mdogo, makuzi yangu yote yalikuwa kwa kisubwa, nilipokwenda shule ya msingi ulimwengu wangu ulikuwa wa kiswahili, kufika chuo - kikuu nikafunzwa kimombo. Kwa sababu maisha hayajiridui basi misamihati yangu inakuwa ni vigumu kujiunda kwenye lugha moja.
 
simjui sana huyu dada ...lakini kuna wengine kina maria shabba au ananilea nkya ..wangefaa sana kwa kazi ile ya kelele....

kuna yule dada naye alikuwa na kelele sana ...mwishoni akawa pale TACAIDS kama name like leila sheikh or so ..alitoka pale kwa kugombana na Herman lupogo[rtd maj.general]..yuko wapi???...she was vocal as welll...
 
Leila Sheikh anafanya kazi za za kitafiti sasa! Simfahamu vizuri sana, ila anauwezo wa uandishi na kuchokonoachokono kwa ujarisiri na bila aibu. Nadhani alimshtaki Herman Lupogo, kesi yake sijui imeishia wapi!

Maria Shaba pia ni mzuri kwa muda mchache ambao nimemfahamu. Ila anamisimamo yake mikali juu ya elimu kwamba inatufanya tunakuwa tegemezi sana, na sasa yupo mbio kuanzisha shule yake yenye kubeba maadili ya kiafrika. Sikuweza kumuelewa vizuri shule hiyo itakuwaje - alikuwa anaangalia maswala ya majukumu ya kijamii na kutafuta value za kiafrika zitakazosukumu watu kujifunza, na kujitolea kuendeleza jamii zao. Sijui amefikia wapi!
 
unajuwa maria shabba ndio mke wa jenerali ulimwengu[waliotengana]...wote wana misimamo mikali sana ya kimapinduzi...it was a good match,,.ila mara nyingi mwanamke akiwa na msimamo mkali sana ...inakuwa tabu kuishi na mwanamume....!!nadhani wanaume wengi tupo allegic kuona mwanamke anakuwa na balls ndani ya nyumba...

remember kilichomkuta specioza kazibwa alipotaka kuleta mapinduzi ya kuwa mke mume....[ie kurudi mid night bila kuaga etc]...mumewe hakuangalia cheo chake alichezea bakora ...hadi wapambe wakamuokoa tena kwa kummbembeleza eng,kazibwe....aliwaambia ,"huyu nimemuoa ..hapa ndani yeye ni mke wangu na si makamu wa rais,afteral kabla hajawa hapa alipo alikuwa akiniheshimu..lazima aendelee kuniheshimu""......nadhani hili tatizo la wanawake outspoken kukorofishana na waume linahitaji utafiti.....;wanaume wengi wanataka uanaharakati wa mwanamke au cheo chake kiishie kwenye mlango wa nyumbani!!!
 
Phile

Mbona unatoka katika mada mzee! lakini ngoja nikujibu maana maswala ambayo umeyatema ni mazito. Halafu turudi kwenye ng'o! ng'o HakiElimu!

Mimi naona mifumo inapandiana na mabadiliko yamekuja kwa kasi sana wakati pande zote mbili za jinsia hazijajitayarisha. Nadhani cha msinigi inapotekea mama ni mwanaharakati na amepata cheo kikubwa, kuwe na taratibu mbalimbali katika familia ili kujitayarisha na kujizoesha na mabadiliko yatakayowafika. Baba kupata wivu, wasiwasi, ama kujihisi haeshimiki tena ni vitu vya kawaida, ambapo hata mama vinamkumba iwapo mumewe anapopata kazi ya juu bila kumthamini. Iliyepata nafasi lazima aelewe power dynamic zitakazotokea na awe tayari kwenda taratibu! Lakini na mwenzi wake usiweke kauzibe sana na yeye aelewe, kwani mwisho wa siku ni kwa faida ya familia na taifa lao.

Lakini, kutandikana viboko sio dili kabisa! Ni makosa makubwa kumchapa binadamu mwenzio! Watu wanaachana, wengine wanaumiza, na watoto ndio wanajifunza humohumo, mwanamke akikuuzi we mdude tu! Utafiti unaonyesha kwa kiasi kikubwa wanaopigapiga wake zao au waume zao wamejifunza hayo kutoka udogoni mwao - ama kupitia familia, majirani, ndugu au rafiki! So watch that hand to break the circle of violence!
 
Wadau nauliza mwenye ufahamu wa hali halisi ya HakiElimu maana imekuwa ghafla mno kutoweka ktk masikio ya watanzania... Au vita ya mafisadi imewakimbiza pia? Nimepata data kwamba mkurugenzi mwanzilishi wa HakiElimu sasa yupo ktk shirika jipya liitwalo TWAWEZA. Je ina maana HakiElimu ilikuwa inategemea uwepo wa Rakesh Rajani au staff wake? 😕
Mwenye data amwage hapa

...Mods naomba mnioneshe kama kulikuwa nam aombi maalum au kwa sababu zipi hii thread ikaunganishwa na ile ile iliyopita tena ya mwaka 2007? I thought and still think kwamba najenga hoja kwa kuiangalia HakiElimu ilipo sasa.... Jamani jamani jamani kabla au hata baada ya kuunganisha threads pia mngekuwa mnawataarifu authors kupata idhini IKIBIDI, au somo la hakimiliki hamjaliweka maanani?
 
NB: Kuna MGO naifahamu inayoendelea kufanya kazi (si maarufu) ila imekuwa chachu kubwa sana ktk maendeleo ya usomaji na vitabu, sierikali haijawahi kuipongeza walau kuonesha nia ya kuwakubali au kuwashirikisha ktk mipango ya kuinua sekta ya usomaji nchini pamoja na kuboresha uchapishaji wa vitabu bora vya elimu na ziada hapa nchini click hapa http://www.cbp.or.tz... Hili dubwasha serikali sielewi ibebwe vipi?
Kaazi kweli kweli


Kuhusu hiyo cbp.or.tz, be carerful; I'm getting this warning:

Reported Attack Site!
This web site at cbp.or.tz has been reported as an attack site and has been blocked based on your security preferences.

Attack sites try to install programs that steal private information, use your computer to attack others, or damage your system.

Some attack sites intentionally distribute harmful software, but many are compromised without the knowledge or permission of their owners.


This is from GOOGLE,
"This site may harm your computer."
 


Kuhusu hiyo cbp.or.tz, be carerful; I'm getting this warning:

Reported Attack Site!
This web site at cbp.or.tz has been reported as an attack site and has been blocked based on your security preferences.

Attack sites try to install programs that steal private information, use your computer to attack others, or damage your system.

Some attack sites intentionally distribute harmful software, but many are compromised without the knowledge or permission of their owners.



This is from GOOGLE,
"This site may harm your computer."

ops
hata mimi imenipa meseji hiyo, nimewasiliana na wamiliki ili wanipe ufafanuzi zaidi.
 
Back
Top Bottom