Hakijaeleweka Open University

nyanta

Member
Joined
Sep 18, 2014
Posts
21
Reaction score
0
Friends naomba msaada . Nimechaguliwa pale OUT university. Lakin mpka sasa wanaleta chenga nying kufanya usajili mara. njoo kesho mara majina yamepelekwa NACTE.

Kwa yeyote mwenye taarifa za kuanza usajili anijuze tafadhali
 
We nyata maelezo nusu nusu hayafai. Umechaguliwa kufanywa nini. Na unachengwa kitu gani. Nenda ofisi ya utawala toa shida yako na kama ni kazi wameandika maelezo yote yafuate maana kila kitu na mipangilio yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…