Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Kwa Zomboko wimbo ukiwa mkali utamuona tu anavyoonge. Pia ukiwa kimeo utamjua pia. Anausifia kwa shida. Hata video huzitetea japo hawezi sema ni mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 2488581
Hawavumi lakini wamo
Kwanza video ambazo unakuta msanii anamsifia quality ndogo lakni utasikia kula chuma icho
Ila hiki kipindi daah
Halaf wasanii wake wanakuaga na nyimbo za ajabu balaa
Sijawahi ona msanii alipita hapo akatoboa,View attachment 2488581
Hawavumi lakini wamo
Kwanza video ambazo unakuta msanii anamsifia quality ndogo lakni utasikia kula chuma icho
Wapo, km fm academia "wajelajela" ya kina ndanda cosovo, malu stonchi, Pablo masai, nyoshi El sadaat kabla ya kuvunjika ilitokea hapo...Sijawahi ona msanii alipita hapo akatoboa,
Kama Master J alivyosema ukweli kwa Harmonize kuwa music si talanta yake bali akatafute shughuli nyingine ya kufanya?Kuna muda ukweli usemwe kama sina kipaji na hilo eneo bora niambiwe tungeokoa muda na pesa kwa vijana wengi sana...
Unafki uliopitiliza sio mzuri
Ulitakaje?View attachment 2488581
Hawavumi lakini wamo
Kwanza video ambazo unakuta msanii anamsifia quality ndogo lakni utasikia kula chuma icho
Na izingatiwe kuwa hadi anapohojiwa wimbo uliishasikilizwa/tazamwa na wakajiridhisha kuwa kati ya wengi walioleta kazi zao huyo anayehojiwa ana vigezo vyote!Ulitaka awavunje moyo vijana?
BSS sio Majaji wazuri kwasababuKama Master J alivyosema ukweli kwa Harmonize kuwa music si talanta yake bali akatafute shughuli nyingine ya kufanya?
See what Diamond did to Harmonize, unadhani ni vipaji vingapi vinapotea kwa kukatishwa tamaa.