Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulia lia mtandaoni hakutakusaidiaMojawapo ya matukio yaliyo sikitisha ni jinsi mh Lema alivyofanyiwa ukatili akiwa kwenye kikao halali cha chama cha ndani.
Hiki Chama cha magaidi hangaya atakifyekelea mbali. Sasa mnapumulia mashine, mmekabwa kila kona.Kama jiwe lilipukutika likaiwacha cdm inazidi kuitoa ccm mafua hakuna cha kuifuta cdm.
Utazidi kuramba viatu hadi unachukuliwa na corona lkn cdm utaiwacha inazidi kushine.
Wewe una mateso gani muda huu unatafuna mihogo ya kukaanga wacha kuwachora wanaoteseka huko trigay na ukonga!Baadhi ya viongozi wenye maamuzi wanadhani hii nchi ni mali ya ccm.
Hii nchi ni mali ya watanzania wote bila kujali itikadi za vyama ndiyo maana wakati wa kulipa kodi tunalipa wote bila kujali itikadi.
Mojawapo ya matukio yaliyo sikitisha ni jinsi mh Lema alivyofanyiwa ukatili akiwa kwenye kikao halali cha chama cha ndani.
Hii ni jambo ambalo linazifanya siasa za upinzani nchini kwetu kuwa ngumu zaidi.
Hongereni sana wana cdm ambao hadi sasa tupo bado na imani na cdm pamoja na mateso yote haya.View attachment 2038791
Mungu huyu anayezidi kuibariki ccm kuendelea kushinda kila chaguzi?Mungu ibariki CHADEMA
Picha hii inamuonyesha Mmawia akiwa kasi ya alteza
Hata mimi nawapongeza sn maanake huu utawala katili kweli kweliBaadhi ya viongozi wenye maamuzi wanadhani hii nchi ni mali ya ccm.
Hii nchi ni mali ya watanzania wote bila kujali itikadi za vyama ndiyo maana wakati wa kulipa kodi tunalipa wote bila kujali itikadi.
Mojawapo ya matukio yaliyo sikitisha ni jinsi mh Lema alivyofanyiwa ukatili akiwa kwenye kikao halali cha chama cha ndani.
Hii ni jambo ambalo linazifanya siasa za upinzani nchini kwetu kuwa ngumu zaidi.
Hongereni sana wana cdm ambao hadi sasa tupo bado na imani na cdm pamoja na mateso yote haya.View attachment 2038791
Ndiyo maana MUNGU alipita naye haraka snLile jitu bora limeenda maana haya yalikuwa yanafanywa ama kwa maagizo yake au wateule wake waliyafanya kumfurahisha.
Yap upo sahihiMaCCM yakiongozwa na Msukuma Geita walimuumua kamanda Mawazo kwa kumtia jiti kichwani, heli ya MAKABURU kuliko MaCCM.
Unaweza kufutika wewe na ukakiacha kikidunda.Na bado chama jinai hiki kifaa kufutwa tu
USSR