Uchaguzi 2020 Hakika Dkt. Magufuli haamini macho yake. Alifikiri A, imekuwa B!

Tafadhali tutake radhi wamasai maana tunachunga sana ng’ombe lakini tuko vizuri
Magufuli si mpumbavu kwa sababu ya kuchunga ng'ombe.

Bali ni mchunga ng'ombe kwa sababu ya upumbavu.

Mimi mwenyewe Msukuma. Na ng'ombe nimechunga.
 
Kwaiyo Lissu ndio atakununulia Nguo?
Jitume tafuta pesa kwa Akili na jasho lako, Watu wananunua ndinga mpya kila siku wewe unafikiria Lissu atakupa nafuu ya Maisha.
Mtaje Mtanzania aliyenunua ndinga 0km wakati wa huyu mtu..
 

Daktari wa korosho ameua kilimo cha korosho huko Mtwara. Tumuamini kwa lipi? Tupa kule.
 
Kwel bwashee mana mpk anawatishia wapiga kura,kitachombeba ni mbeleko tu iliyopo tume kwa hii katiba chakavu iliyoasisiwa na chama chakavu. Am very sorry bwashee hv yule bi.kizee wenu wa Lumumba yupo hai???au amekumbwa na tatizo la upumuaji????
Huo ni mtazamo wako bwashee.... Lakini kule field Dr Magufuli na CCM wanakubalika sana.

Naibariki siku ya uchaguzi 28/10/2020
 
Taifa pekee kubwa ambalo nusu ya bajeti inategemea mabeberu, dawa za ARV,vyandarua ambavyo juzi tu hapa vmetolewa kama msaada kwel ujinga na ushamba ni mzigo mzto
Kumbe Ufipa kumejaa wapumbavu, Robert Amsterdam ni nani kwa taifa kubwa kama Tanzania? Think tank ya Ufipa ni majanga.
 

Utafiti wako juu ya kipimo cha kutokuaminika kwa Dkt Magufuli kwa wa Tanzania sio sahihi kabisa.
Mmeishindwa CCM kwa hoja mmeanza kuleta siasa chafu na propaganda mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…