Hakika Haji Manara hakukosea kuwaita wana Yanga SC 'Hamnazo' kwani leo wamelithibitisha hilo kwa vitendo

Hakika Haji Manara hakukosea kuwaita wana Yanga SC 'Hamnazo' kwani leo wamelithibitisha hilo kwa vitendo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
KAULI YA MKUU WA MATAWI YANGA SC MKOA WA DAR ES SALAAM.....

'Kwa tulichofanyiwa na Azam FC juu ya Mchezaji Fei Toto ni Uhuni usiovumilika hivyo nitawahimiza wana Yanga SC wote nchini Kususia kununua Bidhaa zozote zile za Azam"

KAULI YA YANGA SC KATIKA USAJILI WA DIRISHA HILI DOGO LILILOPO.....

"Klabu ya Yanga imepeleka Maombi katika Klabu ya Azam ikitaka Kuwasajili Wachezaji Wao Wawili James Akaminko na Kipre Junior ili Kukiimarisha Kikosi chake"

Halafu wana Yanga SC mkiambiwa hamna akili (Hamnazo) hamtaki na mnanuna.

Hivi inaingia akilini kweli watu ambao mmeshaazimia na Kukubaliana msusie kununua bidhaa zao zozote zile ili Kuwakomoa halafu hapo hapo tena mnataka wawapeni (wawauzieni) wachezaji wao hawa tegemezi wawili?

Jaribuni kupunguza kuvuta mibange.
 
Mnadhani mkitusema hovyo hovyo ndio kiwango cha Kibu Dennis kitaongezeka? Au umri wa babu Onyango utapungua?

Nyinyi kweli ni mbumbumbu!
 
Manara ameweka alama Utopoloni itakayodumu Kwenye Historia..!

Hata Wana Utopolo Waliopo hapa Jukwaani aliwajumuisha Kuwa Hamnazo...!

Afu Yeye Mwenyewe hana Habari, anaendelea kuongeza Wake..!

Basi Tufanye utopolo Waliomo humu amewasingizia..!
 
Wamekumbuka mihogo yao hao wanagomea mikate ya bakhresa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Na ole wenu mje mabanda umiza maana ligi inaoneshwa na azam tu
 
Back
Top Bottom