Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Akalale yooooh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliweza kivipi muoga mkubwa yule? Aliogopa mikutano ya vyama vya siasa, aliogopa vyombo vya habari na aliliogopa bunge.Tunahitaji watu aina ya Magufuli kwa miaka 100 japo watanzania akili zitukae sawa.
Kuna Mtu yuko Mahali yeye Kaamua kukaa Kimya anategemea mambo yatafanyika automatic.
View attachment 2744083
Maendeleo hayanaga demokrasia dogo! Ili uendelee lazima kuwepo u'dictator'! Inahitajika uanamume hasa! Ukileta umamama hutoboi!Alikuwa hafuati Katiba wala sheria ni kutukana tukana tu ni kutembea na mabulungutu ya hela zetu za kodi yeye alikuwa anasema ni zake.
Alikuwa nyuma ya matukio ya kuua na kuteka Wapinzani rejea shambulio la kutaka kumuua Tundu Lissu, na utekaji wa Mdude Nyagali kupotezwa kwa Ben Saanane.
ExctlyUngekula hiyo treni?? Bora Mungu alivyompumzisha sasa tumepumua, hakuna kuuana, kutekana, kufilisiana, kuporana na kupigana risasi
Hamna kitu, naye uyu, siku nikutana huko iwe peponi au kuzimu tutazichapa,Tunahitaji watu aina ya Magufuli kwa miaka 100 japo watanzania akili zitukae sawa.
Kuna Mtu yuko Mahali yeye Kaamua kukaa Kimya anategemea mambo yatafanyika automatic.
View attachment 2744083
Kama kuua, kaua wachache mno! Ningekuwa mimi, nadhani ningeua wengi! Wapo wengi sana wanaotuchelewesha ambao kwa hakika wanapaswa wapumzishwe tu hakuna jinsi! Kwa ustawi wa nchi hakuna jinsi wanapaswa wapumzishwe!Ungekula hiyo treni?? Bora Mungu alivyompumzisha sasa tumepumua, hakuna kuuana, kutekana, kufilisiana, kuporana na kupigana risasi
Umekariri uliomezeshwa na mwalimu wako mlevi wa gongo kutoka chuo cha kata yako kilichowekwa ili kukupumbaza na wewe unajiona ni msomi.Kama kuua, kaua wachache mno! Ningekuwa mimi, nadhani ningeua wengi! Wapo wengi sana wanaotuchelewesha ambao kwa hakika wanapaswa wapumzishwe tu hakuna hinsi! Kwa ustawi wa nchi hakuna jinsi wanapaswa wapumzishwe!
Ungejua umuhimu wa usafirishaji katika uchumi, usingeongea kuhusu train!
Mobutu Sese sekko,Iddi Amini Dada Jean Bedel Bokassa nk. nk.Maendeleo hayanaga demokrasia dogo! Ili uendelee lazima kuwepo u'dictator'! Inahitajika uanamume hasa! Ukileta umamama hutoboi!
Akili zako hazina tofauti na za tundu alisema anakumbuka mauwajiyake.Jjjiwe Muuaji
Hpana Mungu ajatuonea.alitupa zawadi tuka shindwa kuitumia.Hakika tutamkumbuka Mjomba Magu ,,Jeshi la mtu mmoja kama milioni sitini! Kama asingepumzika, hakika Tanzania ingekuwa kama Ulaya! Bila shaka train la umeme lingekuwa safarini saa hizi! Mungu alituonea sana kwa kutuondolea huyu mwamba!
Jjiwe was a devilAlikuwa ni RAIS bora kuwahi kutokea Tanzania hilo kila MTANZANIA anakiri hata kimoyomoyo.
Anakumbukwa na atakumbukwa daima.
Kama mamaako mama abdul alivyo devil😕😏Jjiwe was a devil
Tatizo nyinyi wenzetu wa upande ule mmezoea kubembelezwa kama mashoga!!Alikuwa hafuati Katiba wala sheria ni kutukana tukana tu ni kutembea na mabulungutu ya hela zetu za kodi yeye alikuwa anasema ni zake.
Alikuwa nyuma ya matukio ya kuua na kuteka Wapinzani rejea shambulio la kutaka kumuua Tundu Lissu, na utekaji wa Mdude Nyagali kupotezwa kwa Ben Saanane na wengine wengi.
Wanadeka kama watoto wadogoTatizo nyinyi wenzetu wa upande ule mmezoea kubembelezwa kama mashoga!!
Kwenu huko kila kitu lazima kiwe laini; chapati laini tende laini, mishikaki laini mhogo laini n.k.
Ndo akili yote mmewekeza kwenye kusaidiwa saidiwa tu!!