Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Hapa kinachozungumziwa ni fairness. This is unprecedented na anayeona ni sawa ana haki ya kuona hivyo.Point za mzunguko wa kwanza wapewe tu Namungo, Simba hana uhitaji nazo.
Fikria toka Ligi Ianze Simba na Namungo Hawajacheza Mechi Hata Moja Ya Ligi KuuTatizo team za bongo zinadeka mno, tujiulize ulaya wanameneji vipi kucheza ligi zote na kuisha kwa wakati, Tuige England , ambao Wana makombe mengi tunaweza kujifunza kitu , mana wabongo wanavichwa vigumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza UjingaHaya basi Yanga watapewa point zote 6
Chelsea na man cty wote wapo uefa..vipi hawajakutana round zote mbili?Sasa we hapa hoja yako Ni ipi....hufahamu kwamba hao wote wawilii ratiba zao za epl ziliingiliwa na mechi zao za Caf....
Yanga akili zenu sjui huwa mnaziachaga mapori gani
Hauwezi fananisha logistic ya ulaya ambayo timu inatoka uingeleza hadi france baada ya mechi wanarudi kulala uingeleza, na Africa ambayo hakuna jinsi ya kwenda egypt bila kulala dubai au kwenda kenshasa kongo bila kupitia ethiopia. Kuna muda mkiwa mnafananisha mambo ya africa na ulaya sijui huwa mnatumia akili gani sojui. Kwa africa kuna nchi ambazo route ya ndege ni mala moja au mbili kwa wiki. Yaani kama una mechi angola jmos na flyt ya kwenda huko ni j4 inabidi ufuate ratiba ya flyt. Sijajua kwa nini haya yameibuka sasa hivi. Kwa kifupi huku kileleni hatusikii baridi kabisa maana tumeshalizoea .Tatizo team za bongo zinadeka mno, tujiulize ulaya wanameneji vipi kucheza ligi zote na kuisha kwa wakati, Tuige England , ambao Wana makombe mengi tunaweza kujifunza kitu , mana wabongo wanavichwa vigumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora ujinga kuliko upumbavu ulioandika hapoPunguza Ujinga
Wewe ndo huna akili,mtu anayefuatilia na kuujua mpira kamwe hawezi kuchekelea ujinga huoSasa we hapa hoja yako Ni ipi....hufahamu kwamba hao wote wawilii ratiba zao za epl ziliingiliwa na mechi zao za Caf....
Yanga akili zenu sjui huwa mnaziachaga mapori gani
Mkuu watu watasema huu ulinganifu ni very unfair, wenzako wanacheza week days, facilities ziko juu kuanzia miundombinu ya viwanja mpaka usafiri wa kufika eneo moja hadi lingine,Chelsea na man cty wote wapo uefa..vipi hawajakutana round zote mbili?
Hivi hamjiulizi wale wenzetu wanapanga vipi ratiba??
Epl
Uefa
Fa
Carabao
International break
Na game Zinaenda fresh tu
Geography ya Ulaya na Logistics zao za usafiri ni Simple tu unaweza toka Asubuhi London jioni ukacheza Mechi Paris. Toka Bongo sasa kwenda Lubumbashi... Unaanza Dar - Addis Ababa unalala kesho yake unaunga mpaka Kinshasa. .. hapo ndio utafute Flight to Lubumbashi.Chelsea na man cty wote wapo uefa..vipi hawajakutana round zote mbili?
Hivi hamjiulizi wale wenzetu wanapanga vipi ratiba??
Epl
Uefa
Fa
Carabao
International break
Na game Zinaenda fresh tu
Hapa kinachozungumziwa ni fairness. This is unprecedented na anayeona ni sawa ana haki ya kuona hivyo.