Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Uendeshaji wa Soka hapa kwetu ni wa kupigiwa mfano. Sasa hivi Ligi inaelekea ukingoni lakini mpaka sasa Simba na Namungo hawajacheza hata mechi moja baina yao.
Toka Ligi Ianze Mo Fc (Simba) hawajakutana Kabisa kwa Maana ya Mzunguko Wa Kwanza Au Wa Pili [emoji1][emoji1]
Toka Ligi Ianze Mo Fc (Simba) hawajakutana Kabisa kwa Maana ya Mzunguko Wa Kwanza Au Wa Pili [emoji1][emoji1]