Hakika hii ni Tz ya viwanda,jionee hapa bidhaa bora zaidi made in Tanzania

Kama viwavi aahaaa nimekosea , kama viwanda vyenyewe ndo hivi bora niwe mtazamaji tu.
 
Mwambieni mwenye nazo anipe bei na uwakala plz!! nimezielewa Sana
 
hahaaa sasa wakivaa hizi ..papuchi zao sizitkuwa na magaga..au kama msasa
Mkuu si unajua tena Tanzania ya viwanda.Hizo zimesuguliwa na mafuta ya mnyonyo.Ni laini kama sufi
 
Hahaha chawa wanatoka wapi wakati zinasafishwa kwa madawa ya asili
 
Zimesuguliwa kwa ndani na msasa mkuu[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mimi hata kwa mtutu sitavaa. Bora nisiitwe mzalendo kama kutovaa hiyo kutaninyima sifa ya uzalendo.....
 
Hivi we kweli ni mwaafrika mtanzania halisia? Mkuu support culture yako kuwa mzalendo achana na mambo ya kizungu
Mimi hata kwa mtutu sitavaa. Bora nisiitwe mzalendo kama kutovaa hiyo kutaninyima sifa ya uzalendo.....
 
Hatuwezi pata mask zinazofanana na bidhaa hizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…