Ndio nipo tayari kabisa na nipo very serious, hati miliki ninayo kabisa.50,000/- sina ila hiyo nyumba yako naitaka Mkuu, maana ya Mungu mengi vipi tunaweza kuandikishana??
Kama unajiamini mi naweka jiwe wewe unaweka hati
Kesho nakutafuta lete hati au mkataba wa manunuzi ya kiwanja nami nitatoa elfu hamsini na mashahidi tuviache kwa mwanasheria, baada ya matokeo yeye anakabidhi tu.
Naona nyumba imepona mkuu hongera sana.Habarini Wadau,
Kwa mshabiki nguli yeyote wa soka (Die hard fan) wa Juventus namkaribisha tu bet.
Mimi ninaweka nyumba yangu kubwa mezani na yeye aweke elfu 50 tu.
Hivi vibibi vya Turin ndio vimeishia kuipiga Lazio...ila kwa Madrid wanaenda kufunzwa adabu hao watoto.
Anybody to bet ? [emoji12]
Angalia usianze kulala nje na baridi hii ukaishia kupata pneumonia bure.
Kuupita ukuta wa Juventus labda ule ugali wa mtama,Zidane atakalishwa mapema sana.
Pole mmeonyeshwa tayari huo mpiraHaha kwa mpira upi Madrid ampige juve,,nyumba yako kaa nayo ila Madrid hamuwezi Juve
Kama una hayo MAVI anza safari ya kwenda KUNYA sasa..!Naweka mzigo kwa Juve, kama madrid akiifunga Juve naenda kunya pale getini Lugalo.
Alosema anaenda kunya lugalo,nije kumchambisha
HahahahahaHaha kwa mpira upi Madrid ampige juve,,nyumba yako kaa nayo ila Madrid hamuwezi Juve
Angalia usianze kulala nje na baridi hii ukaishia kupata pneumonia bure.
Kuupita ukuta wa Juventus labda ule ugali wa mtama,Zidane atakalishwa mapema sana.
Tukamchambishe mtu asee mana sio kwa kujiapiza huku aseeeMimi nitakusaidia kubeba maji kwenye ndoo Mkuu..!!
Tukamchambishe mtu asee mana sio kwa kujiapiza huku aseee