Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,598
Waungwana habari zenu!
Umemaliza masomo - ajira huna ...
Ulijitahidi kutengeneza documents za kughushi - umetumbuka
Umeshindwa kuelewana na wafanyakazi wenzio - umetumbuka
Umekuwa kimbelembele kama .... - umetumbuka
Soma tena kichwa cha habari ... hilo ndo suluhisho la kila siku....
Maisha hayaendi bila kula, kuvaa na kulala ... mengine ni nyongeza .. kikubwa zaidi ni kula kwani bila kula afya yako itakuwa mgogoro.
Lima tu - utapata chakula cha kila aina
Fuga tu - utapata kila kitoweo
Ziada ya hapo - utauza na kupata fedha kwa ajili ya mambo mengine ...
Waungwana .... hacheni kuilaumu serikali, jilaumu mwenyewe kwanza kwa kutotafakari miaka nenda rudi.
Hivi kama ungelikumbuka mnamo mwaka 2010 wakati unaangaika na wanasiasa, ukatenga muda na ardhi na kupanda miti ya mbao ipatayo 50, hivi - baada ya miaka mitano ya kisanii (maisha bora kwa kila mtanzania) ungevuna hiyo miti ungekuwa na kiasi gani cha pesa?
Mwaka huu usiishe kabla ya kupanda miti kwenye kaplot kako ili ifikapo 2021 uweze kuvuna ..
Mwanasiasa hana mpango wa kukukomboa hata siku moja ... kazi yake ni kujitangaza tu. Siasa ni kazi za kudanganya wananchi, na sina uhakika kama kweli kuna mwanasiasa ataiona paradiso.
Umemaliza masomo - ajira huna ...
Ulijitahidi kutengeneza documents za kughushi - umetumbuka
Umeshindwa kuelewana na wafanyakazi wenzio - umetumbuka
Umekuwa kimbelembele kama .... - umetumbuka
Soma tena kichwa cha habari ... hilo ndo suluhisho la kila siku....
Maisha hayaendi bila kula, kuvaa na kulala ... mengine ni nyongeza .. kikubwa zaidi ni kula kwani bila kula afya yako itakuwa mgogoro.
Lima tu - utapata chakula cha kila aina
Fuga tu - utapata kila kitoweo
Ziada ya hapo - utauza na kupata fedha kwa ajili ya mambo mengine ...
Waungwana .... hacheni kuilaumu serikali, jilaumu mwenyewe kwanza kwa kutotafakari miaka nenda rudi.
Hivi kama ungelikumbuka mnamo mwaka 2010 wakati unaangaika na wanasiasa, ukatenga muda na ardhi na kupanda miti ya mbao ipatayo 50, hivi - baada ya miaka mitano ya kisanii (maisha bora kwa kila mtanzania) ungevuna hiyo miti ungekuwa na kiasi gani cha pesa?
Mwaka huu usiishe kabla ya kupanda miti kwenye kaplot kako ili ifikapo 2021 uweze kuvuna ..
Mwanasiasa hana mpango wa kukukomboa hata siku moja ... kazi yake ni kujitangaza tu. Siasa ni kazi za kudanganya wananchi, na sina uhakika kama kweli kuna mwanasiasa ataiona paradiso.