Hakika: Mwanaume kuwa na wivu kwa mke/msichana wake ni udhaifu na ujinga

Mapenzi wivu bhanaa asikwambie mtu, penzi pasi na wivu bado halijakamilika
 
Mimi mwenyewe nilipokuwa mtoto nilikuwa na mawazo kama ya mleta uzi. Ila siku hizi nimekuwa muhenga sina tena mawazo kama hayo. Nikisikia mtu kajinyonga, sishangai bali natafakari mengi. Nikisikia wanandoa wamepigana, sishangai. Huwa nasema kuta za vyumba husitiri mengi. Hakika, kua uyaone!
 
Safi kabisa Azarel umeandika point kweli kweli.
 
Yaan ukigongewa mke halafu usi mind wew ni Malaya pro max
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…