Yes...nilikisoma.Hahaha...Leornado aliitendea haki that movie "The Great Gatsby"
Ulishasoma kitabu chake?
Cc Swtbird rubiiMapenzi wivu bhanaa asikwambie mtu, penzi pasi na wivu bado halijakamilika
wewe nae unazisaka wewe!Uko sahihi chief
Safi kabisa Azarel umeandika point kweli kweli.Yakupasa ujiulize yafuatayo kabla ya kuanza kulialia na kwenda kumshitaki Mkeo popote pale:
1) Je huyo Mpenzi, Mchumba au Mke ulimkuta na Bikira?
2) Wewe Binafsi huna Mchepuko unaomgonga mbali na Mkeo?
Mwanamke unapokuwa na uhusiano au ndoa naye...we mwambie tu maneno machache kuwa...
"Kutoka nje ya Ndoa sio vizuri kwakuwa kuna magonjwa ya zinaa na utashindwa kuitunza familia, pia Uaminifu ni jambo zuri, na akitoka nje atumie Condom..BAAAS.
GPS unawekaje mkuuAhsante kwa ushauri, maana nilikua nataka nimtegeshee wangu GPS na vinasa sauti kila anakokwenda nipaone na nisikie anachozungumza...