Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

Hiki kitu kipo...mdad mmoja nipo nae ofsin...akawa hana habari na mkaka mmoja wa miaka 45, mbaba alikuwa akimfukuzia kimyakimya, nilikgundua hilo baada ya mkaka kuomba appointment na wkt mwingine kuonesha mahaba, mdada akawachomoa na kumtangaza.

Huyu kaka ana akili sana, hakuhangaika nae tena na alijua kazi zake na akiendelea kumsaidia pale anahitajika...

Huyu shoga angu bado hajakamata mkwanya
 
😝😝
 
Baltazar wapo tu na si Ngonga pekee yake [emoji23] [emoji23]
 
Ninyi ni mashoga? Mlikua mkitenda dhambi gani? Kupakuana?
 
Unaonekana una dunia yako ya kipekee kabisa, ya kufikirika. Ukioa mwanamke malaya (non-virgin) jiandae kutombewa. Haijalishi unam-treat vipi.
 
Thats true kuna jamaa anademu akee anafanyaa kazi porini tunafanya nae kazi ofisi moja tukiwa naye porini ni kama mke wangu mpaka staff wanjua nipo nae ila akiendaa likizo ndo anaendaa kwa jamaa ake ndo anakaa nae ila muda mwingi mimi ndo nakaaa nae sana kushinda msela ake
 
Ndio raha ya ndoa, hata wale mama wa nyumbani, wanabsnduliwa balaaa, sasa unakuta bado ana mawasiliano na njemba yake ya zamani, itakuja na itapewa yooote,
Siku hz wala sipati shida, wala hainisumbuhi, mie ni kutwfuta fwedha tu, nikinyimwa mambo ndoani,natafuta ka GenZ tu, mbona Vito to vya 2000 vipo kibao, au na Mimi nafuta mnyonge mmoja, nimgongee! Harafu ukikutana nae,Vipi Bro! Kwema!kumbe umetoka kula Mali zake
 
Utakuta hili bwabwa na zwazwa ndo maana linabwabwaja na kubwatabwata kama mkund,,,u
 
Mwanamke anayefanya kazi ofisini na mwanamke amabye ana safiri mara kwa mara asilimia za kuliwa ni 99.99%
 
Ni kama naiona future yako bro, Ni mbaya sana jiandae gharama na kwa namna yoyote hautoweza kukwepa hilo, kesho yako uliyoitengeneza ni mbaya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…