Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

Tena akiwa kateuliwa kwenye chama kikubwa ndio kabisa
 
Hatari hiyo
 
😁😁😁😁😄😄😄😄
Yani kama naliona vile hilo tukio demu akitega tako na jamaa akilipiga piga pa pa pa......
 
Hahahaha
 
Siyo uhalisia kwa mtu anaye jifungia ndani, jobless, anaye ishi duniani kama anaishi kwenye kisiwa cha peke yake.

Toka nje iangaze dunia alafu njoo hapa usome hii comment yako
Mkuu hapa kikubwa ni kuwa binadamu wa sasa hatuna uaminifu maana huwezi mlaumu mwanamke peke yake. Hata hao wanaume wanao toka nao pia wanaweza kuwa waume za watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…