Hakika ng'ombe wa maskin hazai

Hakika ng'ombe wa maskin hazai

mamkey

Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
25
Reaction score
5
nimefanya interview nyingi nyingine nimefanikia kabisa na kutumiwa mpaka sms za congratulations na kuwa wataniita after same days sasa miez cta cjaitwa jamani nifanyeje? No capital,?? No income,??? Ntafantaje mim wakati cna hata wa kumtegemea jamani nisaidieni pliz.
 
da kumbe wewe umetumiwa hata sms za kukupongeza kumbe wewe ng'ombe wako amezaa tatizo amezaa ndama wa jinsia gani mwenzio hata iyo sms tu ndo naisikia kwako
 
degree ya fani ya certifiket in masterz and advance diploma majoring in bachelor.


Mhhh upo serious au sijaelewa bado hapo umejibu nini pengine au labda funguka more
 
Mhhh upo serious au sijaelewa bado hapo umejibu nini pengine au labda funguka more

ndugu papizo, alotoa mada ni MAMKEY mimi ni KILAHUNJA na nimejibu swali alouliza SENETOR cz ana tabia za mizaha ktk maswala ya KAZI, so ts nt a real thing, be disturbed by it no more.
 
Back
Top Bottom