Hakika nimepoteza nguvu zangu bure

lengo la kuleta huu uzi ni lipi?
 
nilishasemaga....wagonjwa wa akili kama hawa watakuwa wengi sana Jiwe akimaliza muda wake
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aliambulia savanna mkuu
 
Fara
 
Hakika umelogwa. Mtu fukara kama wewe kuwaza kuwa ana milioni ishirini anazirusha chumbani na kuziokota ni ukichaa mkubwa.
 
We ni Shirima wa wapi? Achaga uboya aisee! Hizi swaga sio meku!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…