Hakika Ruben, unachofanya sio comedy bali ni udhalilishaji kwa wanawake

Hakika Ruben, unachofanya sio comedy bali ni udhalilishaji kwa wanawake

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Wakuu natumaini mko poa. Leo naandika nikiwa na hasira nyingi dhidi ya mtu anayeitwa Hakika Ruben.

Huyu ni mtu maarufu mitandaoni kwa clips zake za vichekesho.

Kwa upande wangu nampongeza kwa kuendeleza kipaji chake na ninampongeza zaidi kama inamletea chochote mezani.

Binafsi sivutiwi na aina ya comedy anayofanya hasa kwenye uongeaji wake wa kuchanganya lugha ya kiingereza na kiswahili.

Leo nimetumiwa clip ambayo kiukweli sio comedy kabisa na anapaswa kuomba radhi kwa jamii.

Kwa ufupi Hakika Ruben kaongea maneno ya ovyo kwa maumbile ya wanawake.

Kaenda mbali zaidi kwa kusema kama wanajua wana maumbile hayo kulikuwa na haja gani ya wao kuja duniani?

Ninawasihi mashabiki wa huyu msanii uchwara tumgomee kazi zake zote pia ikitokea kupiga kura kwenye tuzo atakazokuwa nominated tusifanye hivyo.

Tazama hiyo clip kisha utoe maoni yako.

 
Wakuu natumaini mko poa. Leo naandika nikiwa na hasira nyingi dhidi ya mtu anayeitwa Hakika Ruben. Huyu ni mtu maarufu mitandaoni kwa clips zake za vichekesho. Kwa upande wangu nampongeza kwa kuendeleza kipaji chake na ninampongeza zaidi kama inamletea chochote mezani.

Binafsi sivutiwi na aina ya comedy anayofanya hasa kwenye uongeaji wake wa kuchanganya lugha ya kiingereza na kiswahili. Leo nimetumiwa clip ambayo kiukweli sio comedy kabisa na anapaswa kuomba radhi kwa jamii. Kwa ufupi Hakika Ruben kaongea maneno ya ovyo kwa maumbile ya wanawake. Kaenda mbali zaidi kwa kusema kama wanajua wana maumbile hayo kulikuwa na haja gani ya wao kuja duniani? Ninawasihi mashabiki wa huyu msanii uchwara tumgomee kazi zake zote pia ikitokea kupiga kura kwenye tuzo atakazokuwa nominated tusifanye hivyo.

Tazama hiyo clip kisha utoe maoni yako.
Nimeishia kuangalia picha... Maelezo yako yanatosha
 
Wakuu natumaini mko poa. Leo naandika nikiwa na hasira nyingi dhidi ya mtu anayeitwa Hakika Ruben. Huyu ni mtu maarufu mitandaoni kwa clips zake za vichekesho. Kwa upande wangu nampongeza kwa kuendeleza kipaji chake na ninampongeza zaidi kama inamletea chochote mezani.

Binafsi sivutiwi na aina ya comedy anayofanya hasa kwenye uongeaji wake wa kuchanganya lugha ya kiingereza na kiswahili. Leo nimetumiwa clip ambayo kiukweli sio comedy kabisa na anapaswa kuomba radhi kwa jamii. Kwa ufupi Hakika Ruben kaongea maneno ya ovyo kwa maumbile ya wanawake. Kaenda mbali zaidi kwa kusema kama wanajua wana maumbile hayo kulikuwa na haja gani ya wao kuja duniani? Ninawasihi mashabiki wa huyu msanii uchwara tumgomee kazi zake zote pia ikitokea kupiga kura kwenye tuzo atakazokuwa nominated tusifanye hivyo.

Tazama hiyo clip kisha utoe maoni yako.
Wewe ndiye Baraka

Lipia tangazo
 
Wakuu natumaini mko poa. Leo naandika nikiwa na hasira nyingi dhidi ya mtu anayeitwa Hakika Ruben. Huyu ni mtu maarufu mitandaoni kwa clips zake za vichekesho. Kwa upande wangu nampongeza kwa kuendeleza kipaji chake na ninampongeza zaidi kama inamletea chochote mezani.

Binafsi sivutiwi na aina ya comedy anayofanya hasa kwenye uongeaji wake wa kuchanganya lugha ya kiingereza na kiswahili. Leo nimetumiwa clip ambayo kiukweli sio comedy kabisa na anapaswa kuomba radhi kwa jamii. Kwa ufupi Hakika Ruben kaongea maneno ya ovyo kwa maumbile ya wanawake. Kaenda mbali zaidi kwa kusema kama wanajua wana maumbile hayo kulikuwa na haja gani ya wao kuja duniani? Ninawasihi mashabiki wa huyu msanii uchwara tumgomee kazi zake zote pia ikitokea kupiga kura kwenye tuzo atakazokuwa nominated tusifanye hivyo.

Tazama hiyo clip kisha utoe maoni yako.
Wanaosemaga Wanaume wanavibamia ndio unawatetea?

Mbona wakiwasema wanaume vibaya hamuwasemi
 
Comedy yeyote inahitaji akili kueleweka.

Kilicho kufanya ukasirike ndicho kitamfanya yeyote aliyemuelewa acheke.

Comedy ni sanaa, kama sanaa zingine inaelezea uhalisia wa mambo yanayofanyika kwenye jamii.

Si uongo kwamba wanaume wengi wanapenda makalio makubwa na hapo ndipo msingi wa kichekesho ulipo ( bila kujali anamaanisha au hamaanishi)
 
Wewe ndiye Baraka

Lipia tangazo
Nimeishia kuangalia picha... Maelezo yako yanatosha
Kilimbatz uko sahihi, nimesikiliza mara mbili sijaona udhalilishaji wowote, labda kama mleta mada ana nia tu ya kumtangaza huyo Comedian maana hata mimi nilikuwa sijawahi kumsikia.

Kakomedi ni kazuri tu, hakana shida yeyote.

Niliposoma heading nikadhani labda kazungumzia K, kumbe makalio tu?!
 
Ndio maana vichaa wengi barabarani ni wanaume kwa sababu jamii ishahalalisha wanaume kuumizwa kihisia na kiakili kwa sababu tu ni masculine
Eti sisi tukisemwa tunanyamaza wao wakisemwa tunawatetea
 
Back
Top Bottom