Hakika Ruben, unachofanya sio comedy bali ni udhalilishaji kwa wanawake

Hakika Ruben, unachofanya sio comedy bali ni udhalilishaji kwa wanawake

Wakuu natumaini mko poa. Leo naandika nikiwa na hasira nyingi dhidi ya mtu anayeitwa Hakika Ruben.

Huyu ni mtu maarufu mitandaoni kwa clips zake za vichekesho.

Kwa upande wangu nampongeza kwa kuendeleza kipaji chake na ninampongeza zaidi kama inamletea chochote mezani.

Binafsi sivutiwi na aina ya comedy anayofanya hasa kwenye uongeaji wake wa kuchanganya lugha ya kiingereza na kiswahili.

Leo nimetumiwa clip ambayo kiukweli sio comedy kabisa na anapaswa kuomba radhi kwa jamii.

Kwa ufupi Hakika Ruben kaongea maneno ya ovyo kwa maumbile ya wanawake.

Kaenda mbali zaidi kwa kusema kama wanajua wana maumbile hayo kulikuwa na haja gani ya wao kuja duniani?

Ninawasihi mashabiki wa huyu msanii uchwara tumgomee kazi zake zote pia ikitokea kupiga kura kwenye tuzo atakazokuwa nominated tusifanye hivyo.

Tazama hiyo clip kisha utoe maoni yako.


Macomedian wengi wa Tanzania kama kina Idris, Steve Nyerere na wapuuzi wengine wako very pathetic. Nashangaa kwanini jamii inawabeza, yaani mtu anaongea ujinga na kujicheka mwenyewe bado watu wanamshangilia.
 
Kutuchekesha watu tuna stress zetu ,tumevurugwa mchezo!aongeze bidii
 
Kuna clip moja katoa juz kat apo ana katikia nyimbo ya Diamond [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Tanzania kuna ujinga mwingi sana na muendelezo wa huo ujinga unaletwa na wajinga wanaoendeleza huo ujinga.....
 
Mtoa mada ana wivu chuki na roho mbaya as if kuna mtu amesemwa kwa majina yake au kwa picha
 
Ila ruben ni gay eti?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jomoneeeh mie nilijua tyuuh, si kulitokea ugomvi kule tiktok kuna jamaa nae ni popular, alitongozwa na Ruben ili amle,
Na walikubaliana kwa malipo, sasa kabla ya kufanya utekelezaji wa jambo hilo, waligombana duuu jamaa akamwaga upupu nje, yaan had charts zao, ruben anavojibebisha sasa woiiiiiih.

Hadi ruben alikua analia na alifunga tiktok yake kwa muda, baadae ndo karud tena, but sahiv video zake nyingi anaigiza km fame yaan. Uwiiiiiih

Afu hajar wala nn. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ushaona neno Comedy ?

Hii political correctness ikizidi watu tunakuwa kama kifungoni..., Huyo Jamaa simjui wala sijamsikiliza ila sikubaliani na watu kufungwa kauli (tena kauli zenyewe ni utani) eti sijui nani anadhalilishwa.....

Yaani maneno ya mtu huko wewe ndio udhalilike ?, Mbona choices ni nyingi tu ukiona hii haikufai unaendelea na ile..., Cha maana tu aweke Parental Guide na Caution ya Strong Language etc. kama hivyo vipo...

Au mnataka wote wasikilize Gospel na Qaswida ?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jomoneeeh mie nilijua tyuuh, si kulitokea ugomvi kule tiktok kuna jamaa nae ni popular, alitongozwa na Ruben ili amle,
Na walikubaliana kwa malipo, sasa kabla ya kufanya utekelezaji wa jambo hilo, waligombana duuu jamaa akamwaga upupu nje, yaan had charts zao, ruben anavojibebisha sasa woiiiiiih.

Hadi ruben alikua analia na alifunga tiktok yake kwa muda, baadae ndo karud tena, but sahiv video zake nyingi anaigiza km fame yaan. Uwiiiiiih

Afu hajar wala nn. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi nilipitwa jaman rusha basi huo ubuyu
 
Wenyewe wanashindana kuyaonyesha Insta wew unakuja kumshtaki mtu hpa kwakuyataja tu[emoji28]
 
Back
Top Bottom