Hakika Ruben, unachofanya sio comedy bali ni udhalilishaji kwa wanawake

Hakika Ruben, unachofanya sio comedy bali ni udhalilishaji kwa wanawake

Yaan tiktok walizuia saver zao, yaan zilikua hazisave wala ku download,

Mbna ningesave mie yaan, khaaaah ilikua pambee.

Na ile ya aslay na gay mtanzania anayeishi marekani? Ulipitwa.
[emoji23][emoji23][emoji23]

Ya aslay na rich naijua hiyo ilianzia instagram
 
Wakuu natumaini mko poa. Leo naandika nikiwa na hasira nyingi dhidi ya mtu anayeitwa Hakika Ruben.

Huyu ni mtu maarufu mitandaoni kwa clips zake za vichekesho.

Kwa upande wangu nampongeza kwa kuendeleza kipaji chake na ninampongeza zaidi kama inamletea chochote mezani.

Binafsi sivutiwi na aina ya comedy anayofanya hasa kwenye uongeaji wake wa kuchanganya lugha ya kiingereza na kiswahili.

Leo nimetumiwa clip ambayo kiukweli sio comedy kabisa na anapaswa kuomba radhi kwa jamii.

Kwa ufupi Hakika Ruben kaongea maneno ya ovyo kwa maumbile ya wanawake.

Kaenda mbali zaidi kwa kusema kama wanajua wana maumbile hayo kulikuwa na haja gani ya wao kuja duniani?

Ninawasihi mashabiki wa huyu msanii uchwara tumgomee kazi zake zote pia ikitokea kupiga kura kwenye tuzo atakazokuwa nominated tusifanye hivyo.

Tazama hiyo clip kisha utoe maoni yako.


Dada huna kivaranda?[emoji6][emoji6] sijaona ubaya kiasi ulichosimulia?

Japo simkubaligi anavyolegeza sauti na macho
 
First time tu namsikia sauti uyu jamaa nikajua tu ameleft group
Mimi sikuwahi kuelewa hata kwanini watu walikuwa wanamwelewa.
Mimi mara ya kwanza kumfahamu nilikuwa nimekaa na binamu yangu akawa anacheka peke yake akiwa na simu, mara eti akanionyesha alichokuwa anatazama anasema jamaa ni maarufu mtandaoni anaongea vitu vya ukweli ina a funny way, akanionyesha video kama mbili. Sikuvutiwa kabisa na niliona atakuwa na kasoro si bure...
Sikuwahi kumfuatilia tena.
 
Back
Top Bottom