Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Meneja wa wasaniiKinasa msukuma ni nani?
Nenda ig andika hlo jina utamjua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Meneja wa wasaniiKinasa msukuma ni nani?
Hao Wanawake wenyewe ndo Mashabiki zake.Wakuu natumaini mko poa. Leo naandika nikiwa na hasira nyingi dhidi ya mtu anayeitwa Hakika Ruben.
Huyu ni mtu maarufu mitandaoni kwa clips zake za vichekesho.
Kwa upande wangu nampongeza kwa kuendeleza kipaji chake na ninampongeza zaidi kama inamletea chochote mezani.
Binafsi sivutiwi na aina ya comedy anayofanya hasa kwenye uongeaji wake wa kuchanganya lugha ya kiingereza na kiswahili.
Leo nimetumiwa clip ambayo kiukweli sio comedy kabisa na anapaswa kuomba radhi kwa jamii.
Kwa ufupi Hakika Ruben kaongea maneno ya ovyo kwa maumbile ya wanawake.
Kaenda mbali zaidi kwa kusema kama wanajua wana maumbile hayo kulikuwa na haja gani ya wao kuja duniani?
Ninawasihi mashabiki wa huyu msaniiwa uchwara tumgomee kazi zake zote pia ikitokea kupiga kura kwenye tuzo atakazokuwa nominated tusifanye hivyo.
Tazama hiyo clip kisha utoe maoni yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena mchicha mwiba anakula na kuliwa.Yule naskia sio bwana anazushiwa tuu
Hahahaha wanakuwa wehu. Naskia wako possessive sana...ni kweli?Ameamua sasa kujiweka wazi, hivi kwann Gays wakiachwaa huwa wanakua km wamevurugwaa vilee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
DuhTena mchicha mwiba anakula na kuliwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HahanHivi nyie mnao comment kwenye uzi huu ni kwamba mpo semina hivyo mmelala sehemu moja na mkajikuta mnaendeleza maongezi yenu kwenye huu uzi au?
Maana naona kama sielewi chochote kile humu!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa had watu wananishangaa hapaaa. Ila watu mna maneno jamani khaaah[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mashoger njaa wanatamani maisha ya akina noel na rio Paul sema ndo hvo kwa style yao ya kuliwa kwa 20k bado sana
Hahah sasa jaman kila mtu anajiweka kama akina rio... rio hadi UN amefika mchezo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa had watu wananishangaa hapaaa. Ila watu mna maneno jamani khaaah
Muarabu bhana dear,Yeah noel mbona ndo madam boss wa mashouger
Anaishi poshy life masaki hukoo ni mke ya mzungu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanawaburudisha sasaNinawalaum sana wanawake kwa kusapoti hawa watu.... huyu jamaa ana mashabiki waaminifu sana ambao ni wanawake... kuna wanawake huwaambii kitu kuhusu Hakika Ruben... kinachoudhi wanawake wakisikia mtu ni shoga hukimbilia kuandika "Mungu tulindie vizazi vyetu" lakini kwenye maisha ya kawaida wanawake huwapenda sana hawa watu na kuwa nao karibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo ujue ushouger dili mjini.
We toka ukue boyfriend alishawah kufanya wanayofanyiwa hawa watu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah hebu sema kweli??Bora Tuendelee mi na wewe maana biblia imeturuhusu
Habari za ushoga zina comments nyingii kuliko habari za kuabudu munguWabongo wanapendaa balaa, unafiki unawasumbua lol.
Mashoga ni loyal friend sanaNinawalaum sana wanawake kwa kusapoti hawa watu.... huyu jamaa ana mashabiki waaminifu sana ambao ni wanawake... kuna wanawake huwaambii kitu kuhusu Hakika Ruben... kinachoudhi wanawake wakisikia mtu ni shoga hukimbilia kuandika "Mungu tulindie vizazi vyetu" lakini kwenye maisha ya kawaida wanawake huwapenda sana hawa watu na kuwa nao karibu.
Hata mm nlishaxomment nkamwambia weww shoga mda sanaaa