MC Chere
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 586
- 400
Nilipata kumsikia one day akihojiwa kwenye kituo x cha redio akisema "you know,mimi ni kioo cha jamii"
Hivi wewe binti unaelewa maana ya kioo cha jamii?
Kuonesha miguu yako ya rangi mbili mpaka matusini ndo ukioo wenyewe? Kuimba chuna buzi?Kucheza ukiwa uchi huko Belgium na unasema ilikuwa ni bahati mbaya?
Wewe unajitangaza kwa biashara nyingine na sanaa ni mwamvuli tu.Na wenzako wengi wa bongo muvi sijui,kazi yenu ni kutuonesha mapaja tu.Nyambafu yenu.
Hivi huwezi kujifunza kwa dada yako Jide?Vipi Shaa hawezi kuwa shule kwako?,ebu jiheshimu.Wapo wengi sana wakuitwa kioo cha jamii lakini sio wewe.
Angalia akina Fid q,Profesa Jay,Mwana Fa,Jide,Shaa,Banana Zoro na wengineo wengi tu. Kwanza wanaimba nyimbo za kuelimisha lakini si ufuska wenu huo.
Hivi wewe binti unaelewa maana ya kioo cha jamii?
Kuonesha miguu yako ya rangi mbili mpaka matusini ndo ukioo wenyewe? Kuimba chuna buzi?Kucheza ukiwa uchi huko Belgium na unasema ilikuwa ni bahati mbaya?
Wewe unajitangaza kwa biashara nyingine na sanaa ni mwamvuli tu.Na wenzako wengi wa bongo muvi sijui,kazi yenu ni kutuonesha mapaja tu.Nyambafu yenu.
Hivi huwezi kujifunza kwa dada yako Jide?Vipi Shaa hawezi kuwa shule kwako?,ebu jiheshimu.Wapo wengi sana wakuitwa kioo cha jamii lakini sio wewe.
Angalia akina Fid q,Profesa Jay,Mwana Fa,Jide,Shaa,Banana Zoro na wengineo wengi tu. Kwanza wanaimba nyimbo za kuelimisha lakini si ufuska wenu huo.